Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?

Producer wa Fishcrab, Lamar na muimbaji Gelly wa Rhymes, ni miongoni mwa mastaa wenye watoto. Bahati nzuri wawili hao wana watoto wa kike warembo kweli kweli. Na sasa tunakuuliza, nani mrembo zaidi? Nisha wa Lamar au Queen wa Gelly? Queen Nisha Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Gelly wa Rhymes- Trap Queen

Gelly wa Rhymes ameamua kuonesha uwezo wake wa kuchana kwenye ngoma hii Trap Queen. Isikilize. Related Tags:

 

10 years ago

Bongo5

Kristina Pimenova: Mtoto wa miaka 9 ndiye msichana mrembo zaidi duniani (picha)

Jarida la Women Daily lilimtaja Kristina Pimenova, mtoto mwenye miaka 9 kuwa msichana mrembo zaidi duniani. Kristina, kutoka Urusi alianza masuala ya modelling akiwa na miaka minne na tayari ameshafanya kazi na wabinifu wakubwa wa mavazi wakiwemo Roberto Cavalli na Benetton. Tayari ameshaokava pia jarida la Vogue Bambini. Tazama picha zake zaidi.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Gelly Wa Rhymes – Kontena

cover - Gerry

Msanii Gelly Wa Rhymes ameachia wimbo mpya unaitwa “Kontena”, Producer Teaz Villah

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Mzee Majuto Akiwa Katika Pozi Tamuuu na Mrembo Nisha!!!

Tahadhari: Hii sio Le Projectii, ni picha tu za kawaida ambazo  katika pita pita zangu kwenye kurasa za  waigizaji  kwenye mitandao ya kijamii kutafuta UBUYU ndipo nikakutana  na picha hizi tamu za Mzee Majuto akiwa na mrembo Nisha.

Kilichonifurahisha na kunifanya nizilete hapa ni hizi pozi zao mbili tofauti, kwanza wanaonekana kama wapo wanachombezana mara wanaonekana kama wamefumwaa…hahahaha hatari sana.

Kuthibitisha kuwa hii sio Le Project Nisha aliandika maneno haya kiutani kwenye...

 

9 years ago

GPL

KHLOE ATAKA MTOTO NA LAMAR ODOM

Lamar Odom akiwa na aliyekuwa mkewe Khloe Kardashian. California, Marekani
KWA sasa Khloe Kardashian amesitisha ishu yake ya kufuatilia talaka ya kuachana na mumewe wa ndoa, Lamar Odom na anataka kuhakikisha ndoto zake zinatimia kwa kuzaa naye mara atakapokuwa sawa. Lamar ambaye aliwahi kuwa mcheza kikapu wa NBA, kwa sasa yupo hospitali amelazwa baada ya kupoteza fahamu kwa takriban siku tatu kutokana na kuzidisha matumizi ya...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Umeiskia ‘Am Happy’ ya Bob Manecky f/ Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes?

Producer wa AM Records, Bob Manecky ameachia wimbo uitwao ‘Am Happy’ aliowashirikisha Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes. Usikilize hapo chini, utaupenda. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka […]

 

11 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER, DULLY SYKES, LINAH SANGA, SHETA NA GELLY WA RHYMES WAIFAGILIA SKYLIGHT BAND NI IJUMAA HII TENA‏

Rapa Joniko Flower akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku wenzake wakisebeneka ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita pamoja na Ijumaa zingine za kila wiki. Mdau wakijiachia na mrembo wa kizungu...Chezea Skylight Band wewe....ni Balaaa!…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani