Kimbunga chaua watu 43 Marekani
Watu 43 wameuawa katika kipindi cha siku tano zilizopita kutokana na kimbunga maeneo ya kusini na magharibi mwa Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kimbunga chaua Ufilipino
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOoUTirdT2Vx4wYU*KXxtk3QJyfIj3hvCR*Jm3dvSxagmp3M7ltwIVIOWhMuEyU36iJMSjruf8FGyJc3Twwj*jpw/kimbunga.jpg)
KIMBUNGA CHAUA 6 NCHINI INDIA
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Kimbunga Gonzalo chaua Uingereza
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Kimbunga chaua wawili, 30 wajeruhiwa kisiwani Goziba
10 years ago
Habarileo30 Aug
‘Kipanya’ chaua watu 10
Watu kumi akiwemo mama na mwanawe wamekufa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Hiace waliyokuwa wanasafiria kugongana na lori katika mji mdogo wa Mbalizi, Wilaya ya Mbeya Vijijini.
11 years ago
Habarileo14 Dec
Kifusi chaua watu sita
WATU sita wakiwemo wanafunzi wawili wamekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakichimba mchanga katika eneo la Pumwani wilayani Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro. Tayari serikali imeyafunga machimbo yote mkoani humo yakiwamo yaliyosababisha vifo hivyo, ili kuepusha athari zaidi kwa wachimbaji wengine, ikizingatiwa kuna mvua za vuli zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini.
11 years ago
Habarileo06 Apr
Kifusi chaua watu watatu Dar
WATU watatu wamekufa katika machimbo ya mawe eneo la Bunju Kilungule baada ya gema kukatika na kuwafunika. Watu hao ni Juma Mohamed (25) utingo wa lori, Juma Ngulumbai (45) opereta wa karasha na Ally Msalaga(45) dalali wote wakazi wa Bunju. Tukio hilo lilitokea Aprili 4 saa 5:00 asubuhi.
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Kimbunga kikali chawaua watu 6 India
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Kimbunga chasababisha vifo vya watu 9 China