Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kifusi chaua watu watatu Dar

WATU watatu wamekufa katika machimbo ya mawe eneo la Bunju Kilungule baada ya gema kukatika na kuwafunika. Watu hao ni Juma Mohamed (25) utingo wa lori, Juma Ngulumbai (45) opereta wa karasha na Ally Msalaga(45) dalali wote wakazi wa Bunju. Tukio hilo lilitokea Aprili 4 saa 5:00 asubuhi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kifusi chaua watatu Geita

WATU watatu wamefariki dunia katika eneo la Kukuruma linalomilikiwa na mgodi wa dhahabu wa Geita Gold Mine (GGM) baada ya kuangukiwa na kifusi cha udongo walipokwenda kuchimba mawe yanayodhaniwa kuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Kifusi chaua watu sita

WATU sita wakiwemo wanafunzi wawili wamekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakichimba mchanga katika eneo la Pumwani wilayani Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro. Tayari serikali imeyafunga machimbo yote mkoani humo yakiwamo yaliyosababisha vifo hivyo, ili kuepusha athari zaidi kwa wachimbaji wengine, ikizingatiwa kuna mvua za vuli zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gema la kifusi laua watatu Dar

WAKAZI watatu wa Bunju, Kinondoni jijini Dar es Salaam, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na gema la kifusi cha mawe walichokuwa wakipandisha kwenye gari. Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Kamanda...

 

11 years ago

GPL

WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR

Shughuli ya uokoaji ikiendelea. Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.…

 

11 years ago

GPL

KIFUSI CHAUA 21 INDIA

Muonekano wa maporomoko India. Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India,huku 20 wakithibitishwa kufariki dunia katika kijiji cha Malin karibu na mji wa Pune lilikotokea janga hilo. Kazi ya uokoaji inaendelea katika eneo hilo huku hali ya hewa mbaya ikidaiwa kuchelewesha harakati hizo. Vikosi vya uokoaji vimeendelea na kazi ya kuwanusuru waliofukiwa na maporomoko ya udogo huo, japo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kifaru chagonga nyumba, chaua watatu

KIFARU cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jana kiliacha njia na kugonga nyumba mbili za raia na kusababisha vifo vya watu watatu katika Kijiji cha Mnolela barabara kuu ya Mtwara...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu watatu Dar

WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti ya ajali za barabarani, ikiwemo mwendesha pikipiki, Arnold Lukoga (38) aliyekufa baada ya kuangukia kichwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke,Dar es Salaam, Engelbert Kiondo alisema ajali hiyo ilitokea jana saa 2:30 usiku katika Barabara ya Nyerere eneo la Tazara.

 

10 years ago

GPL

WATU WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI DAR

Mchina aliyekuwamo kwenye gari akizungumza kwa simu, pembeni yake ni askari wa usalama barabarani. Dereva wa Opa ambaye hakufahamika jina lake mara moja.…

 

10 years ago

Habarileo

‘Kipanya’ chaua watu 10

Watu kumi akiwemo mama na mwanawe wamekufa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Hiace waliyokuwa wanasafiria kugongana na lori katika mji mdogo wa Mbalizi, Wilaya ya Mbeya Vijijini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani