Gema la kifusi laua watatu Dar
WAKAZI watatu wa Bunju, Kinondoni jijini Dar es Salaam, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na gema la kifusi cha mawe walichokuwa wakipandisha kwenye gari. Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Kamanda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Apr
Kifusi chaua watu watatu Dar
WATU watatu wamekufa katika machimbo ya mawe eneo la Bunju Kilungule baada ya gema kukatika na kuwafunika. Watu hao ni Juma Mohamed (25) utingo wa lori, Juma Ngulumbai (45) opereta wa karasha na Ally Msalaga(45) dalali wote wakazi wa Bunju. Tukio hilo lilitokea Aprili 4 saa 5:00 asubuhi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WATATU WAFARIKI KWA KUFUKIWA KIFUSI MACHIMBONI DAR
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kifusi chaua watatu Geita
WATU watatu wamefariki dunia katika eneo la Kukuruma linalomilikiwa na mgodi wa dhahabu wa Geita Gold Mine (GGM) baada ya kuangukiwa na kifusi cha udongo walipokwenda kuchimba mawe yanayodhaniwa kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6qXmV*pKzduDYq4Deo6T3h12q*oUzh9QfkbDtgGZFUvcHXwamDlyEvdnOjkIzbfRgl1OxIJzHUA5H9ggSZkadrz/_82760522_0270495071.jpg?width=650)
SHAMBULIO LA MAGURUNETI LAUA WATATU BUJUMBURA
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Bomu laua watatu, dereva wa jaji auawa
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Lori la mafuta lalipuka, laua watatu Mbeya
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Bomu latupwa ndani ya basi Kigoma, laua watatu na kuacha sita taabani
11 years ago
CloudsFM17 Jul
LORI LAACHA NJIA LAGONGA NYUMBA LAUA WATANO PAPO HAPO,LAJERUHI WATATU IRINGA
AJALI mbaya ya gari im,etokea usiku wa leo mkoani Iringa baada ya lori la mizigo lenye namba za usajili T 801 ACD lililokuwa likielekea mkoani Mbeya kuacha njia na kugonga nyumba iliyokuwa ikitumiwa kama sehemu ya klabu cha kuuzia pombe za kienyeji na kusababisha vifo vya watu watano papop hapo wakiwemo watatu wa familia moja.
Tukio hilo limetokea majira ya saa 4 usiku wa leo katika eneo la njia panda ya makumbusho ya Isimila kata ya Mseke wilaya ya Iringa katika barabara kuu ya Iringa -...