‘Kipanya’ chaua watu 10
Watu kumi akiwemo mama na mwanawe wamekufa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Hiace waliyokuwa wanasafiria kugongana na lori katika mji mdogo wa Mbalizi, Wilaya ya Mbeya Vijijini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Nov
‘Kipanya’ chaua tisa na kujeruhi
11 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Kipanya chaua kumi Mbeya
WIMBI la ajali katika mlima Mbalizi mkoani hapa, limeendelea kushika kasi baada ya ajali nyingine iliyohusisha basi dogo (Kipanya), na lori na kusababisha vifo vya watu kumi na kujeruhi saba,...
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Kimbunga chaua watu 43 Marekani
11 years ago
Habarileo14 Dec
Kifusi chaua watu sita
WATU sita wakiwemo wanafunzi wawili wamekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakichimba mchanga katika eneo la Pumwani wilayani Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro. Tayari serikali imeyafunga machimbo yote mkoani humo yakiwamo yaliyosababisha vifo hivyo, ili kuepusha athari zaidi kwa wachimbaji wengine, ikizingatiwa kuna mvua za vuli zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini.
11 years ago
Habarileo06 Apr
Kifusi chaua watu watatu Dar
WATU watatu wamekufa katika machimbo ya mawe eneo la Bunju Kilungule baada ya gema kukatika na kuwafunika. Watu hao ni Juma Mohamed (25) utingo wa lori, Juma Ngulumbai (45) opereta wa karasha na Ally Msalaga(45) dalali wote wakazi wa Bunju. Tukio hilo lilitokea Aprili 4 saa 5:00 asubuhi.
11 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
9 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo12 Aug