KIFUSI CHAUA 21 INDIA
![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpOOByFzpGCCrYzYUdPR2o7LNfonxSEDrJkdNWSHrGyxEHwUdYqjyP6I2lkaG-Ys8kC3ai546N9p3P7G5mUApLhT/140730111118_india_landslide_304x171_afp_nocredit.jpg?width=600)
Muonekano wa maporomoko India. Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India,huku 20 wakithibitishwa kufariki dunia katika kijiji cha Malin karibu na mji wa Pune lilikotokea janga hilo. Kazi ya uokoaji inaendelea katika eneo hilo huku hali ya hewa mbaya ikidaiwa kuchelewesha harakati hizo. Vikosi vya uokoaji vimeendelea na kazi ya kuwanusuru waliofukiwa na maporomoko ya udogo huo, japo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Dec
Kifusi chaua watu sita
WATU sita wakiwemo wanafunzi wawili wamekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakichimba mchanga katika eneo la Pumwani wilayani Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro. Tayari serikali imeyafunga machimbo yote mkoani humo yakiwamo yaliyosababisha vifo hivyo, ili kuepusha athari zaidi kwa wachimbaji wengine, ikizingatiwa kuna mvua za vuli zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kifusi chaua watatu Geita
WATU watatu wamefariki dunia katika eneo la Kukuruma linalomilikiwa na mgodi wa dhahabu wa Geita Gold Mine (GGM) baada ya kuangukiwa na kifusi cha udongo walipokwenda kuchimba mawe yanayodhaniwa kuwa...
11 years ago
Habarileo06 Apr
Kifusi chaua watu watatu Dar
WATU watatu wamekufa katika machimbo ya mawe eneo la Bunju Kilungule baada ya gema kukatika na kuwafunika. Watu hao ni Juma Mohamed (25) utingo wa lori, Juma Ngulumbai (45) opereta wa karasha na Ally Msalaga(45) dalali wote wakazi wa Bunju. Tukio hilo lilitokea Aprili 4 saa 5:00 asubuhi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOoUTirdT2Vx4wYU*KXxtk3QJyfIj3hvCR*Jm3dvSxagmp3M7ltwIVIOWhMuEyU36iJMSjruf8FGyJc3Twwj*jpw/kimbunga.jpg)
KIMBUNGA CHAUA 6 NCHINI INDIA
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kimbunga chaua Ufilipino
10 years ago
Habarileo30 Aug
‘Kipanya’ chaua watu 10
Watu kumi akiwemo mama na mwanawe wamekufa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyota Hiace waliyokuwa wanasafiria kugongana na lori katika mji mdogo wa Mbalizi, Wilaya ya Mbeya Vijijini.
9 years ago
Habarileo18 Sep
Kipindupindu chaua 2 Dodoma
WAKAZI wawili wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Kipindupindu chaua 21 Mwanza
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Kipindupindu chaua 17 Mwanza