Kimbunga Gonzalo chaua Uingereza
Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya kuangukiwa na mti kutokana na upepo mkali jijini London, Uingereza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kimbunga chaua Ufilipino
Waokoaji Kaskazini mwa Ufilipino wanachimbua ardhini kwa lengo kutafuta mamia ya wachimba madini, baada ya kukumbwa na kimbunga.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Kimbunga chaua watu 43 Marekani
Watu 43 wameuawa katika kipindi cha siku tano zilizopita kutokana na kimbunga maeneo ya kusini na magharibi mwa Marekani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOoUTirdT2Vx4wYU*KXxtk3QJyfIj3hvCR*Jm3dvSxagmp3M7ltwIVIOWhMuEyU36iJMSjruf8FGyJc3Twwj*jpw/kimbunga.jpg)
KIMBUNGA CHAUA 6 NCHINI INDIA
Upepo mkali ukivuma leo katika ufukwe wa Gopalpur huko Orissa, India. Taswira kutoka katika Hoteli ya Park iliyopo Visakhapatnam wakati kimbunga hicho kikipita. WATU sita wamepoteza maisha nchini India baada ya kimbunga kiitwacho Hudhud kupiga eneo la pwani ya India kikiwa na…
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Kimbunga chaua wawili, 30 wajeruhiwa kisiwani Goziba
Watu wawili wamefariki dunia baada ya kimbunga kupiga katika Kisiwa cha Goziba na kusababisha baadhi ya mitumbwi kupinduka katika Ziwa Victoria.
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kimbunga Uingereza chasababisha maafa
Maelfu ya nyumba Uingereza hazina umeme huku usafiri wa umma ukiathiriwa na upepo mkali unaovuma nchini humo
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Kimbunga kupiga tena nchini Uingereza
Kimbunga kinatarajiwa kujitokeza tena katika maeneo kadhaa ya nchini Uingereza,kikiambatana na mvua na barafu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpOOByFzpGCCrYzYUdPR2o7LNfonxSEDrJkdNWSHrGyxEHwUdYqjyP6I2lkaG-Ys8kC3ai546N9p3P7G5mUApLhT/140730111118_india_landslide_304x171_afp_nocredit.jpg?width=600)
KIFUSI CHAUA 21 INDIA
Muonekano wa maporomoko India. Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India,huku 20 wakithibitishwa kufariki dunia katika kijiji cha Malin karibu na mji wa Pune lilikotokea janga hilo. Kazi ya uokoaji inaendelea katika eneo hilo huku hali ya hewa mbaya ikidaiwa kuchelewesha harakati hizo. Vikosi vya uokoaji vimeendelea na kazi ya kuwanusuru waliofukiwa na maporomoko ya udogo huo, japo...
9 years ago
Habarileo18 Sep
Kipindupindu chaua 2 Dodoma
WAKAZI wawili wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Kipindupindu chaua 17 Mwanza
Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuleta maafa mkoani hapa, baada ya kusababisha vifo vya watu 17 na wengine 268 kulazwa katika vituo mbalimbali vya afya tangu Septemba, mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania