Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimbunga Gonzalo chaua Uingereza

Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya kuangukiwa na mti kutokana na upepo mkali jijini London, Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaua Ufilipino

Waokoaji Kaskazini mwa Ufilipino wanachimbua ardhini kwa lengo kutafuta mamia ya wachimba madini, baada ya kukumbwa na kimbunga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaua watu 43 Marekani

Watu 43 wameuawa katika kipindi cha siku tano zilizopita kutokana na kimbunga maeneo ya kusini na magharibi mwa Marekani.

 

10 years ago

GPL

KIMBUNGA CHAUA 6 NCHINI INDIA

Upepo mkali ukivuma leo katika ufukwe wa Gopalpur huko Orissa, India. Taswira kutoka katika Hoteli ya Park iliyopo Visakhapatnam wakati kimbunga hicho kikipita. WATU sita wamepoteza maisha nchini India baada ya kimbunga kiitwacho Hudhud kupiga eneo la pwani ya India kikiwa na…

 

10 years ago

Mwananchi

Kimbunga chaua wawili, 30 wajeruhiwa kisiwani Goziba

Watu wawili wamefariki dunia baada ya kimbunga kupiga katika Kisiwa cha Goziba na kusababisha baadhi ya mitumbwi kupinduka katika Ziwa Victoria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kimbunga Uingereza chasababisha maafa

Maelfu ya nyumba Uingereza hazina umeme huku usafiri wa umma ukiathiriwa na upepo mkali unaovuma nchini humo

 

11 years ago

BBCSwahili

Kimbunga kupiga tena nchini Uingereza

Kimbunga kinatarajiwa kujitokeza tena katika maeneo kadhaa ya nchini Uingereza,kikiambatana na mvua na barafu

 

11 years ago

GPL

KIFUSI CHAUA 21 INDIA

Muonekano wa maporomoko India. Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India,huku 20 wakithibitishwa kufariki dunia katika kijiji cha Malin karibu na mji wa Pune lilikotokea janga hilo. Kazi ya uokoaji inaendelea katika eneo hilo huku hali ya hewa mbaya ikidaiwa kuchelewesha harakati hizo. Vikosi vya uokoaji vimeendelea na kazi ya kuwanusuru waliofukiwa na maporomoko ya udogo huo, japo...

 

9 years ago

Habarileo

Kipindupindu chaua 2 Dodoma

WAKAZI wawili wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa, wamefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chaua 17 Mwanza

Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuleta maafa mkoani hapa, baada ya kusababisha vifo vya watu 17 na wengine 268 kulazwa katika vituo mbalimbali vya afya tangu Septemba, mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani