Kimbunga kikali chawaua watu 6 India
Watu sita wameripoti kufariki nchini India baada ya kimbunga chenye nguvu nyingi kwa jina 'Hudhud' kupiga eneo la pwani ya India
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Kipindupindu chawaua watu 29 Sudan Kusini
Watu 29 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipundupindu nchini Sudan Kusini huku wengine 1000 wakiwa katika hatari ya maambukizi kulingana na Umoja wa mataifa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOoUTirdT2Vx4wYU*KXxtk3QJyfIj3hvCR*Jm3dvSxagmp3M7ltwIVIOWhMuEyU36iJMSjruf8FGyJc3Twwj*jpw/kimbunga.jpg)
KIMBUNGA CHAUA 6 NCHINI INDIA
Upepo mkali ukivuma leo katika ufukwe wa Gopalpur huko Orissa, India. Taswira kutoka katika Hoteli ya Park iliyopo Visakhapatnam wakati kimbunga hicho kikipita. WATU sita wamepoteza maisha nchini India baada ya kimbunga kiitwacho Hudhud kupiga eneo la pwani ya India kikiwa na…
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Kimbunga chaua watu 43 Marekani
Watu 43 wameuawa katika kipindi cha siku tano zilizopita kutokana na kimbunga maeneo ya kusini na magharibi mwa Marekani.
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Kimbunga chasababisha vifo vya watu 9 China
Utawala China umethibitisha vifo vya watu 9 kutokana na athari za kimbunga kinachoendelea kuponda pwani yake.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi
Wakimbizi 15 wa Burundi, wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, baada ya kukimbilia usalama wao nchini Tanzania kwa mashua wakitokea nchini mwao Burundi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeGaZlP0eIZvS9JYUUO4BqYvCply*VzWqnWVm*PoeWrA5iQvre50dbMLTSI9vp5PTOpEPWqszkZ9hmbWmaRR04uN/davina.jpg?width=650)
DAVINA APEWA KIPIGO KIKALI NA MUMEWE
Na Musa Mateja
KIBANO! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba na simu iliyodaiwa kupigwa na mwanaume mwingine. Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ Tukio hilo lilitokea nyumbani kwa msanii huyo, Mbezi-Beach, Dar, Julai 22, mwaka huu ambapo Davina alikutwa akizungumza na mwanaume ambaye...
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Watu waliofariki na pombe India wafika 90
Zaidi ya watu 90 wamefariki kutokana na pombe iliokuwa na sumu katika mji wa India, Mumbai huku wengi wengine wakiwa hospitalini.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Watu 10 wauawa katika mkanyagano India
Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mkanyagano uliofanyika katika hekalu moja katika jimbo la mashariki la Jharkhand nchini India .
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Nyani awagawia watu pesa India
Nyani mmoja katika jimbo la Himachal Pradesh Kaskazini ya India, amewagawia watu pesa halisi.Katoa wapi pesa hizo?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania