Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimbunga kikali chawaua watu 6 India

Watu sita wameripoti kufariki nchini India baada ya kimbunga chenye nguvu nyingi kwa jina 'Hudhud' kupiga eneo la pwani ya India

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kipindupindu chawaua watu 29 Sudan Kusini

Watu 29 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipundupindu nchini Sudan Kusini huku wengine 1000 wakiwa katika hatari ya maambukizi kulingana na Umoja wa mataifa.

 

10 years ago

GPL

KIMBUNGA CHAUA 6 NCHINI INDIA

Upepo mkali ukivuma leo katika ufukwe wa Gopalpur huko Orissa, India. Taswira kutoka katika Hoteli ya Park iliyopo Visakhapatnam wakati kimbunga hicho kikipita. WATU sita wamepoteza maisha nchini India baada ya kimbunga kiitwacho Hudhud kupiga eneo la pwani ya India kikiwa na…

 

9 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chaua watu 43 Marekani

Watu 43 wameuawa katika kipindi cha siku tano zilizopita kutokana na kimbunga maeneo ya kusini na magharibi mwa Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chasababisha vifo vya watu 9 China

Utawala China umethibitisha vifo vya watu 9 kutokana na athari za kimbunga kinachoendelea kuponda pwani yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi

Wakimbizi 15 wa Burundi, wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, baada ya kukimbilia usalama wao nchini Tanzania kwa mashua wakitokea nchini mwao Burundi.

 

11 years ago

GPL

DAVINA APEWA KIPIGO KIKALI NA MUMEWE

Na Musa Mateja
KIBANO! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba na simu iliyodaiwa kupigwa na mwanaume mwingine. Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ Tukio hilo lilitokea nyumbani kwa msanii huyo, Mbezi-Beach, Dar, Julai 22, mwaka huu ambapo Davina alikutwa akizungumza na mwanaume ambaye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu waliofariki na pombe India wafika 90

Zaidi ya watu 90 wamefariki kutokana na pombe iliokuwa na sumu katika mji wa India, Mumbai huku wengi wengine wakiwa hospitalini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa katika mkanyagano India

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mkanyagano uliofanyika katika hekalu moja katika jimbo la mashariki la Jharkhand nchini India .

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyani awagawia watu pesa India

Nyani mmoja katika jimbo la Himachal Pradesh Kaskazini ya India, amewagawia watu pesa halisi.Katoa wapi pesa hizo?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani