Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVINA APEWA KIPIGO KIKALI NA MUMEWE

Na Musa Mateja
KIBANO! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba na simu iliyodaiwa kupigwa na mwanaume mwingine. Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ Tukio hilo lilitokea nyumbani kwa msanii huyo, Mbezi-Beach, Dar, Julai 22, mwaka huu ambapo Davina alikutwa akizungumza na mwanaume ambaye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DAVINA AMWANGUKIA MUMEWE

Brighton Masalu Sorry! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kumwangukia mumewe, Abdallah Shakoor ili kurejesha uhai wa ndoa yao ‘iliyokwaruzwa na makucha ya shetani’ ikiwa ni njia ya kurudisha heshima na hadhi yake kwenye familia na jamii kwa jumla. Staa wa sinema za Kibongo Halima Yahya ‘Davina’. Habari kutoka kwa chanzo makini kilieleza kwamba, mara kadhaa Davina...

 

9 years ago

GPL

DAVINA ACHARUKA KISA KURUDI KWA MUMEWE

Imelda Mtema FUNGUKA! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amesema anakasirishwa na ‘wambeya’ ambao kila uchwao wamekuwa wakimuuliza atarudi lini kwa mumewe, Abdallah Shakoor ambaye walitengana miezi kadhaa iliyopita. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’. Kuonesha amechoshwa na maswali hayo yanayomfikia kupitia watu wake wa karibu, Davina alisema hakuna mtu anayejua siri yake na siku...

 

9 years ago

Global Publishers

Tonto Dikeh apewa Prado na mumewe kama zawadi ya Krismasi

Prado-2016-4

Toyota Prado

MSANII mwenye vituko kunako tasnia ya filamu, Nollywood, Tonto Dikeh Sikukuu ya Krismasi mwaka huu imekuwa nzuri kwake baada ya mumewe kipenzi, Olanrewaju Churchill kumkabidhi Prado nyeupe kama zawadi ya sikukuu.

Prado-2016-5Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto aliweka furaha yake kwa mashabiki kwa kutupia picha ya gari hilo na kumuita mumewe huyo KingKong.

“Ahsante kwa KingKong wangu kwa kunibariki gari hili ambalo ni jipya kabisa, Prado ya mwaka 2016. Mungu akubariki sana wewe mtu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi

Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.

Gazeti hilo limedai kuwa Davina  alisema kuwa  anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.

Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali.Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi, saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa kurudi nyumbani.Mwanaume huyo amejeruhiwa vibaya mume wake sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyopelekea kulazwa katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga kikali chawaua watu 6 India

Watu sita wameripoti kufariki nchini India baada ya kimbunga chenye nguvu nyingi kwa jina 'Hudhud' kupiga eneo la pwani ya India

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Hulka Sasa Kitu Kikali Filamu ya Kupenda Kubaya

Kampuni ya usambazaji wa filamu Bongo ya Saprima Distributors inatarajia kuachia bonge la movie la KUPENDA KUBAYA ni kutoka kwa mtayarishaji Yule Yule wa filamu ya Hulka iliyotesa na kufunika kazini kibao Swahilihood Madebe Lindai anatamba kuwa sinema ya KUPENDA KUBAYA ni kazi nzuri sana.

“Kaka hapa mtoto hatumwi sokoni kama mboga wacha iungue tu maana filamu ya kupenda kubaya imetendewa haki kwa kila aliyeshiriki katika sinema hiyo asikwambie mtu wasanii wameigiza katika ushindani mkubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani