Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NJEMBA AZAMIA MKUTANO WA UKAWA MORO, ASHUSHIWA KICHAPO KIKALI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KISA HAUSIGELI, NJEMBA ALA KICHAPO

TIMBWILI! Njemba mmoja mkazi wa Kisimani mjini Tunduma wilayani Momba, Mbeya ambaye jina lake halikupatikana mara moja, amejikuta akila kichapo kisa, kudaiwa kumtorosha msichana wa kazi ‘hausigeli’ wa mtu. Tukio hilo lililokusanya watu kibao, lilijiri juzikati katika maeneo hayo baada ya vijana hao kumtuhumu kijana huyo kwamba amemficha msichana huyo ambaye bosi wake aitwaye Johnson alikuwa akimtafuta.  ....Soma...

 

10 years ago

GPL

NJEMBA ACHEZEA KICHAPO: KISA UKUWADI KWA MKE WA MTU!

Stori:  Issa Mnally
Adabu ishike mkondo wake! Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Jose amejikuta akichezea kichapo ‘hevi’ kilichomsababishia kuvunjika pua kwa tuhuma ya ukuwadi wa mke wa mtu, Ijumaa Wikienda lilikuwepo eneo la tukio. Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Jose akivuja damu baada ya kipigo. Msala huo wa aina yake ambao ulivuta umati mkubwa ulijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Makumbusho jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

NJEMBA APOKEA KICHAPO HEVI AKIDAIWA KUMLAWITI MTOTO ARUSHA

NJEMBA mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo amepokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini humo. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)

 

10 years ago

Habarileo

Ukawa ‘watoana macho’ Moro

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Morogoro kimeingia kwenye malumbano jukwaani na uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilaya ya Morogoro kuhusu suala la mchakato wa kumpata wa mgombea wa ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kupitia Ukawa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Watu wawili wafa kwenye mkanyagano mkutano wa Magufuli Moro

Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa kutokana na mkanyagano uliotokea jana Uwanja wa Jamhuri, Morogoro katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli.

 

9 years ago

GPL

MAFUFU ASHUSHIWA KIPIGO NA MKEWE!

KIPIGO! Licha ya kujulikana na kuogopeka kwa ukorofi na ubabe uliopitiliza, muigizaji wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu, amechezea kichapo kutoka kwa mkewe wa ndoa, Salma Mafufu kwa kile kilichoelezwa kuchelewa kurudi nyumbani....Soma zaidi===>http://goo.gl/bFk7Nj

 

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa Camatec ashushiwa tuhuma nzito

Kaimu mkurugenzi mkuu wa Shirika la Vifaa vya Kilimo na Teknolojia (Camatec), Elfariji Makongoro ameshushiwa tuhuma nzito za matumizi mabaya ya mali za umma mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi, ikiwamo kutumia magari ya shirika kwenye harusi ya mpwa wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga kikali chawaua watu 6 India

Watu sita wameripoti kufariki nchini India baada ya kimbunga chenye nguvu nyingi kwa jina 'Hudhud' kupiga eneo la pwani ya India

 

11 years ago

GPL

DAVINA APEWA KIPIGO KIKALI NA MUMEWE

Na Musa Mateja
KIBANO! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba na simu iliyodaiwa kupigwa na mwanaume mwingine. Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ Tukio hilo lilitokea nyumbani kwa msanii huyo, Mbezi-Beach, Dar, Julai 22, mwaka huu ambapo Davina alikutwa akizungumza na mwanaume ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani