Nyani awagawia watu pesa India
Nyani mmoja katika jimbo la Himachal Pradesh Kaskazini ya India, amewagawia watu pesa halisi.Katoa wapi pesa hizo?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVcN7T4W1Teq4RXPqXG6IZnpYtaqiHkKCUZxFRREXHmF-LcNM60*A11V7XRX4hLGUpbJmQ9L0p11XlfyAoqpeEb/nyani.jpg?width=650)
NYANI AGAWA PESA INDIA
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Waomboleza kifo cha Nyani India
10 years ago
CloudsFM14 Jan
MTU ASIYEFAHAMIKA AME’HACK’ NAMBA YA SIMU YA FID Q NA KUWATAPELI WATU PESA
Hivi karibuni zimeenea habari za mastaa wa Kibongo namba zao za simu kuwa ‘hacked’ tukio hilo lilishamkuta msanii Snura,ambapo kwa saa zisizozidi 48 tayari mastaa wawili wa Bongo Fleva namba zao zimekua hacked,ambao ni Ambwene Yesaya ‘AY’ na Fareed Kubanda ‘Fid Q’.
Mtu huyo asiyefahamika alihack namba ya simu ya FID Q na kuwapigia watu wake wa karibu msanii huyo na kuwakopa hela.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Takriban watu 20 wapoteza maisha India
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Watu waliofariki na pombe India wafika 90
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Watu 10 wauawa katika mkanyagano India
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Kimbunga kikali chawaua watu 6 India
10 years ago
StarTV26 May
Wimbi la Joto lawaua watu 430 India
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/25/150525120533_india_heat_640x360_ap_nocredit.jpg)
Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.
Takriban watu 430 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.
Watafiti wamesajili kiwango cha juu mno cha nyuzijoto 48’C katika maeneo mengi nchini humo.
Vifo vingi zaidi vimeripotiwa katika majimbo ya kusini ya Telangana na Andhra Pradesh, ambapo watu 140 wamepoteza maisha yao kuanzia jumamosi wimbi hilo la joto lilipotokea.
Mji wa Allahabad ulioko Uttar Pradesh ulisajili vipimo vya nyuzijoto 48C...