Watu waliofariki na pombe India wafika 90
Zaidi ya watu 90 wamefariki kutokana na pombe iliokuwa na sumu katika mji wa India, Mumbai huku wengi wengine wakiwa hospitalini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLVIFO INDIA: IDADI YA WALIOFARIKI KWA POMBE YENYE SUMU WAFIKIA 90
Waombolezaji wakiwa na picha ya mmoja wa watu waliofariki kwa kunywa pombe yenye sumu huko India. Mwili wa mmoja wa watu waliofariki katika tukio hilo. Vilio na…
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Watu 74 wafariki kwa kunywa pombe India
Wakaazi wa eneo la maskini la mjini Mumbai, India, wanaomboleza baada ya watu kadhaa kufa kutokana na pombe iliyokuwa na sumu.
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Pombe kupigwa marufuku Bihar, India
Waziri mkuu wa jimbo la Bihar nchini India ,Nitish Kumar ametangaza mipango ya kupiga marufuku uuzaji na utumizi wa pombe katika jimbo hilo.
11 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mahakama yazuia marufuku ya pombe India
Mahakama ya rufaa nchini India imezuia mpango wa jimbo la Kerala Kusini mwa nchi hiyo kupiga marufuku pombe.
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Idhini ya daktari kunywa pombe India
Licha ya jimbo la Gujarat India kupiga marufuku unywaji utengenezaji na unywaji pombe, takriban watu 60,000 wamepewa idhini ya kunywa pombe
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Coronavirus: Wafahamu watu mashuhuri waliofariki kwa ugonjwa wa corona Afrika
Kifo cha nguli wa muziki wa Jazz, Manu Dibango kimeongeza idadi ya watu mashuhuri barani Afrika waliofariki kutokana na ugonjwa wa corona au hali ya afya ya awali ambayo ilizoroteshwa na maambukizi ya virusi hivyo.
10 years ago
Michuzi
IDADI YA WATU WALIOFARIKI DUNIA KWENYE TETEMEKO LA ARDHI NEPAL YAZIDI KUONGEZEKA


katika tetemeko la ardhi mjini Kathmand nchini Nepal.Kwa msaada wa mtandaoMAMLAKA ya nchini Nepal imesema kuwa zaidi ya watu 3300 wamesemekana kufairki dunia kutokana na Tetemeko kubwa la ardhi lililotokea jumamosi katika mji wa Kathmandu nchini humo.Waokoaji wanchi hiyo wamesema wanaendelea kuchunguza...
5 years ago
Michuzi
Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Italia yazidi ile ya China

Taarifa iliyotolewa na serikali ya Italia imesema kuwa kesi nyingine mpya za maambukizi ya watu 5322 pia zilisajiliwa katika masaa 24 yaliyopita nchini humo na kuongeza kuwa, hadi kufikia jana jioni watu 41,035 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona.
Takwimu hizo za kufariki dunia watu 3,405 nchini Italia kutokana na virusi vya corona zinaonyesha...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Ramani inayoonesha idadi ya watu walioambukizwa na waliofariki kutokana na virusi vya corona duniani
Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania