Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yazuia marufuku ya pombe India

Mahakama ya rufaa nchini India imezuia mpango wa jimbo la Kerala Kusini mwa nchi hiyo kupiga marufuku pombe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Pombe kupigwa marufuku Bihar, India

Waziri mkuu wa jimbo la Bihar nchini India ,Nitish Kumar ametangaza mipango ya kupiga marufuku uuzaji na utumizi wa pombe katika jimbo hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

India yazuia mitandao 857 ya ngono

India imezuia uwezo wa kuingia katika takriban mitandao 857 ya picha za ngono katika kile inachosema ni harakati za kuwazuia watoto kuiona.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama Japan yazuia majina tofauti ya familia

Mahakama kuu nchini Japan imedumisha sheria kwamba watu waliooana ni lazima watumie jina sawa la kiukoo, na kukataa ombi la wanawake waliotaka kutobadilisha majina wakiolewa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yazuia ‘vijipesa vya ugoro’ IPTL

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imezuia malipo ya Dola za Marekani 75 milioni (Sh.121 bilioni) kutoka katika akaunti ya Escrow kwa ajili ya kununua asilimia 30 ya hisa za VIP Engineering and Marketing katika Kampuni ya kufua umeme ya IPTL.

 

9 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu yazuia kulinda kura meta 200

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepiga marufuku mtu yeyote asikusanyike wala kukaa umbali wa meta 200 kutoka katika kituo cha kupiga kura siku ya kesho, wakati wananchi wakipiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama Kuu yazuia Tanesco kusimamia mitambo Tegeta

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kutoingilia umiliki, usimamizi na utawala wa Mitambo ya ufuaji umeme iliyopo Tegeta, Dar es Salaam hadi hapo uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi utakapotolewa.

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama nchini spain yazuia mgomo wa wachezaji uliopangwa kufanyika kuanzia Jumamosi

Na Sultani Kipingo 
Mahakama nchi Spain imeamuru mgomo wa wachezaji nyota nchi hiyo uliopangwa kufanyika Jumamosi wakipinga sharia mpya ya haki za mapato kwenye TV, hivyo ndio kusema fainali timu ya Barcelona itaweka msumali wake wa mwisho wa La Liga dhidi ya Atletico Madrid siku ya Jumapili.
Mahakama hiyo ya National Court imesema katika uamuzi wake leo kwamba kuruhusu mgomo huo uendelee kutazuia kumalizika kwa michuano ya ubingwa ya nchi hiyo na pia kusababisha mvurugano mkubwa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Marufuku kunywa pombe, kucheza pool saa za kazi - DC

MKUU wa Wilaya ya Lushoto, Majid Mwanga amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe na mchezo wa pool nyakati za asubuhi na muda wa kazi. Amesema hataki kuona vitendo vya starehe, vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wakati wa saa kazi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Idhini ya daktari kunywa pombe India

Licha ya jimbo la Gujarat India kupiga marufuku unywaji utengenezaji na unywaji pombe, takriban watu 60,000 wamepewa idhini ya kunywa pombe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani