Mahakama yazuia marufuku ya pombe India
Mahakama ya rufaa nchini India imezuia mpango wa jimbo la Kerala Kusini mwa nchi hiyo kupiga marufuku pombe.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Pombe kupigwa marufuku Bihar, India
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
India yazuia mitandao 857 ya ngono
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mahakama Japan yazuia majina tofauti ya familia
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mahakama yazuia ‘vijipesa vya ugoro’ IPTL
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mahakama Kuu yazuia kulinda kura meta 200
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepiga marufuku mtu yeyote asikusanyike wala kukaa umbali wa meta 200 kutoka katika kituo cha kupiga kura siku ya kesho, wakati wananchi wakipiga kura.
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama Kuu yazuia Tanesco kusimamia mitambo Tegeta
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kutoingilia umiliki, usimamizi na utawala wa Mitambo ya ufuaji umeme iliyopo Tegeta, Dar es Salaam hadi hapo uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi utakapotolewa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MhhkZsJilGM/VVSxGK2uLOI/AAAAAAAHXTk/-fcx6DlhPPk/s72-c/9fbe7609f50bcf3767e64bf72f3a6387c19b05e9.jpg)
Mahakama nchini spain yazuia mgomo wa wachezaji uliopangwa kufanyika kuanzia Jumamosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-MhhkZsJilGM/VVSxGK2uLOI/AAAAAAAHXTk/-fcx6DlhPPk/s320/9fbe7609f50bcf3767e64bf72f3a6387c19b05e9.jpg)
Mahakama nchi Spain imeamuru mgomo wa wachezaji nyota nchi hiyo uliopangwa kufanyika Jumamosi wakipinga sharia mpya ya haki za mapato kwenye TV, hivyo ndio kusema fainali timu ya Barcelona itaweka msumali wake wa mwisho wa La Liga dhidi ya Atletico Madrid siku ya Jumapili.
Mahakama hiyo ya National Court imesema katika uamuzi wake leo kwamba kuruhusu mgomo huo uendelee kutazuia kumalizika kwa michuano ya ubingwa ya nchi hiyo na pia kusababisha mvurugano mkubwa wa...
11 years ago
Habarileo17 Feb
Marufuku kunywa pombe, kucheza pool saa za kazi - DC
MKUU wa Wilaya ya Lushoto, Majid Mwanga amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe na mchezo wa pool nyakati za asubuhi na muda wa kazi. Amesema hataki kuona vitendo vya starehe, vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wakati wa saa kazi.
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Idhini ya daktari kunywa pombe India