Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


India yazuia mitandao 857 ya ngono

India imezuia uwezo wa kuingia katika takriban mitandao 857 ya picha za ngono katika kile inachosema ni harakati za kuwazuia watoto kuiona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku ya mitandao ya ngono India yaondolewa

Serikali ya India imefutilia mbali amri ya kufunga mitandao yote inayopeperusha filamu za ngono

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yazuia marufuku ya pombe India

Mahakama ya rufaa nchini India imezuia mpango wa jimbo la Kerala Kusini mwa nchi hiyo kupiga marufuku pombe.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India

01

Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).

                                                 Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar                                                         

Wizara ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali yazuia halmashauri’

SERIKALI kupitia wakala wake wa kununua na kuhifadhi mazao ya chakula nchini (SGR), imezitikisa halmashauri nne za Mkoa wa Rukwa baada ya kushindwa kuzilipa zaidi ya sh bilioni 2 za...

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya yazuia tena magari ya TZ

Kwa mara nyingine Serikali ya Kenya imepiga marufuku magari yaliyosajiliwa Tanzania kupakia au kushusha watalii kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ya Jomo Kenyatta (JKIA), hifadhi za taifa na mapori ya akiba nchini humo.

 

11 years ago

GPL

LAKI 3 YAZUIA NDOA KANISANI

Na Mwandishi Wetu, Mbeya
KATIKA  hali  isiyotarajiwa na wengi,  harusi iliyokuwa ifungwe jijini Mbeya Jumamosi iliyopita kati ya bwana harusi, Fadhili Mahenga (28) na bi. harusi Naomi Ngoje imeshindikana  baada ya mume mtarajiwa kushindwa kumalizia mahari ya shilingi laki tatu. Tukio hilo limetokea katika Kitongoji cha Makunguru, Mtaa wa Ilolo Jijini Mbeya na kusababisha sintofahamu  kwa familia ya mume mtarajiwa....

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yazuia msafara wa Lowassa

Jeshi la Polisi, jana liliuzuia msafara wa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa kwenda Usangi, wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro kushiriki mazishi ya kada wa CCM, Peter Kisumo, likitaka kupunguzwa kwa idadi ya watu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yazuia watoto kuogelea

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limepiga marufuku watoto wadogo kwenda kuogelea kipindi cha Sikukuu ya Pasaka. Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova,...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yazuia mkutano wa CUF Songea

Songea. Polisi mjini Songea, imezuia mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliokuwa ufanyike kwenye Viwanja vya mikutano vilivyopo eneo la Majengo Manispaa ya Songea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani