Polisi yazuia mkutano wa CUF Songea
Songea. Polisi mjini Songea, imezuia mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliokuwa ufanyike kwenye Viwanja vya mikutano vilivyopo eneo la Majengo Manispaa ya Songea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDG0L6A9ULY/Vfvii7o-iSI/AAAAAAAA1aU/FiVAnO4K-x0/s72-c/mke%2Bwa%2Blowassa.jpg)
Polisi yazuia mkutano wa mama Lowassa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZDG0L6A9ULY/Vfvii7o-iSI/AAAAAAAA1aU/FiVAnO4K-x0/s640/mke%2Bwa%2Blowassa.jpg)
Mbali na kuzuiwa huko, pia wanawake sita kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliokuwa katika mchakato huo wa matembezi ya kuombea amani, walikamatwa kwa madai ya kufanya maandamano bila kibali cha polisi.
Tukio...
10 years ago
Habarileo13 Apr
Polisi wafuta mkutano wa CUF
POLISI katika Mkoa wa Kaskazini Unguja wamezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Wananchi (CUF) ambao ulikuwa ufanyike katika Jimbo la Kitope kwa maelezo kuwa haukupata kibali cha jeshi hilo.
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Polisi yazuia watoto kuogelea
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limepiga marufuku watoto wadogo kwenda kuogelea kipindi cha Sikukuu ya Pasaka. Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova,...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Polisi yazuia msafara wa Lowassa
9 years ago
StarTV21 Nov
Polisi Mwanza yazuia mikusanyiko ya maandamano ya CHADEMA kuhofia Hofu Wa Kipindupindu
Polisi mkoa wa Mwanza imezuia mikusanyiko ya watu na maandamano kwa kuhofia kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu ambao unatajwa kuzagaa mkoani humo.
Hatua hiyo inatokana na kuwepo kwa taarifa za shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Geita katika viwanja vya Furahisha.
Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia za jeshi la polisi, mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa kesho katika...
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Askari polisi watupiwa bomu Songea
NA MWANDISHI WETU
ASKARI watatu wa polisi mkoani Ruvuma wamejeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Mkoa huo mjini Songea, baada ya kushambuliwa na kitu kinachosadikiwa kuwa bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo lilitokea juzi, jioni katika kata ya Msufini, karibu na daraja la Matarawe, wilayani Songea, mkoani Ruvuma, ambapo watu watatu wasiofahamika walitupa kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la kurushwa kwa mkono.
Askari hao walikumbwa na mkasa huo wakati wakiwa kwenye doria katika eneo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-MAv-SQWiwSg/VPQGZi6hhMI/AAAAAAABmws/nffWPXozO3I/s72-c/ko1.jpg)
MKUTANO WA CUF KOJANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-MAv-SQWiwSg/VPQGZi6hhMI/AAAAAAABmws/nffWPXozO3I/s1600/ko1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eyF0W1k2iSc/VPQGbVaX3tI/AAAAAAABmw0/c_EgYNbPL34/s1600/ko2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PZdKTin_-Ww/VPQGcQEUjWI/AAAAAAABmw8/mGK9Kdr4YEY/s1600/ko3.jpg)
9 years ago
VijimamboMkutano wa CUF Mtambwe