Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa CUF Mtambwe

 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wafuasi wa Chama hicho katika viwanja vya Uondwe Mtambwe.  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.

  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.  Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AZINDUA MASKANI YA VIJANA WALOHAMIA CCM KUTOKA CUF HUKO MITAMBUUNI, MTAMBWE

MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa kaskazini Pemba, mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Mitambuuni Mtambwe Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.) MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Sief Ali Iddi, akisikiliza maelezo ya mwenyekiti wa Maskani ya Vumilia Mitambuuni Mtambwe waliohama CUF na kujiunga na CCM.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa kamati kuu ya CCM...

 

10 years ago

Dewji Blog

KINANA atinga jimbo la Mtambwe alikozaliwa Maalim Seif Sharrif Hamad wa CUF, azindua miradi ya Umeme, Maji

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiweka kifaa cha umeme kwenye transfoma wakati wa uzinduzi wa uwekaji nguzo za umeme katika Kijiji cha Chanjaani, Jimbo la Mtambwe, Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Zanzibar leo. Jimbo hilo ndilo alikozaliwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalimu Seif...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA CUF KOJANI

Mshauri wa mikakati wa Katibu Mkuu wa CUF Mansour Yussuf Himid, akiwaonyesha kidole watoto waliovalia sare za CUF (hawapo pichani), baada ya kuwasili katika kisiwa cha Kojani kwa ajili ya kuhutubia mkutano wa hadharaMkurugenzi wa Habari na Mawasiliano ya Umma wa CUF Salim Bimani, akionesha zawadi alizokabidhiwa na wananchi wa Kojani kwenye mkutano wa hadhara wa CUF uliofanyika kiwani humo mwishoni mwa wiki.Baadhi ya wanachama, wapenzi wa CUF na wananchi waliojitokeza katika mkutano wa...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wafuta mkutano wa CUF

POLISI katika Mkoa wa Kaskazini Unguja wamezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Wananchi (CUF) ambao ulikuwa ufanyike katika Jimbo la Kitope kwa maelezo kuwa haukupata kibali cha jeshi hilo.

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Kampeni wa CUF Micheweni

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia katika mkutano wa hadhara wa Chama hicho uliofanyika viwanja vya skuli ya Micheweni.Wafuasi na wapenzi wa CUF wakimsikiliza mgombea Urais wa Chama hicho Mhe. Maalim Seif Sharif katika viwanja vya skuli ya Micheweni.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa kampeni CUF Ziwani/Ole 16/09/15

The post Mkutano wa kampeni CUF Ziwani/Ole 16/09/15 appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Video:Mkutano wa kampeni za CUF Mpendae

The post Video:Mkutano wa kampeni za CUF Mpendae appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Video: Mkutano wa campeni wa CUF Amani

The post Video: Mkutano wa campeni wa CUF Amani appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yazuia mkutano wa CUF Songea

Songea. Polisi mjini Songea, imezuia mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliokuwa ufanyike kwenye Viwanja vya mikutano vilivyopo eneo la Majengo Manispaa ya Songea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani