Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Serikali yazuia halmashauri’

SERIKALI kupitia wakala wake wa kununua na kuhifadhi mazao ya chakula nchini (SGR), imezitikisa halmashauri nne za Mkoa wa Rukwa baada ya kushindwa kuzilipa zaidi ya sh bilioni 2 za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Serikali yazuia shughuli zinazohusiana na ramli.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

 

Serikali imezuia shughuli zote zinazohusiana na upigaji ramli ikiwataka wapiga ramli wote kuacha shughuli hiyo mara moja vinginevyo watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria.

Katazo hili linakuja ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino ambayo yamedumu kwa muda mrefu sasa hapa nchini.

Waziri wa Mambo ya ndani Mathias Chikawe amesema si kwamba Serikali inaamini uchawi la hasha. Ila kuwepo...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yazuia uzalishaji holela wa vitabu

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesikia kilio cha muda mrefu juu ya uzalishaji wa vitabu usiokidhi viwango kwa kufuta mfumo huria wa uzalishaji na usambazaji wa vitabu shuleni na vyuo vya ualimu badala yake jukumu hilo sasa litafanywa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET).

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yazuia Iringa kujenga stendi Igumbilo

SERIKALI imefanya uamuzi mgumu kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuzuia mpango wake wa kujenga stendi mpya ya mabasi ya mikoani katika eneo linalolalamikiwa na wadau wa mazingira la Igumbilo, mjini hapa.

 

9 years ago

Vijimambo

SERIKALI YA MAREKANI YAZUIA TANZANIA MSAADA WA TRILIONI MOJA

Vitendo vya rushwa vimeendelea kuligharimu taifa baada ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) kuzuia misaada yake kwa Tanzania yenye thamani ya dola za Marekani milioni 472.8 (Sh. trilioni 1.006).

Taarifa iliyotolewa jana na MCC ilieleza kuwa mkutano wa robo ya mwaka wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo linalomilikiwa na serikali ya Marekani kwa ajili ya kutoa misaada kwa nchi zinazoendelea ulijadili pendekezo la mkataba mpya na serikali ya Tanzania wenye thamani ya dola za Kimarekani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Viongozi halmashauri simamieni dawa za serikali’

VIONGOZI wa halmashauri nchini kwa kushirikiana na waganga wakuu wametakiwa kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinavyotolewa na serikali kupitia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) vinatumika kwa kazi iliyokusudiwa. Agizo hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yagomea maombi ya Halmashauri Pwani

>Serikali mkoani Pwani imetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa kwake ya Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo kuwa wilaya na Kibiti Rufiji kuwa mamlaka ya mji mdogo na kisha kuweka bayana kuwa haiwezi kuridhia kwa sasa maombi hayo pamoja na ugawaji baadhi ya kata na vijiji kutokana na waombaji kutofikia vigezo vya kisheria vinavyotakiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchina aiomba Serikali Bilioni 3 kujenga jengo la Halmashauri Singida

DSC03668

Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa Singida, Joseph Mchina, akizungumza kwenye kikao maalum cha kupitisha bajeti ya 2015/2016 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa la katoliki mjini Singida. Wa pili aliyeketi ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida, Salum Mahami na wa kwanza kushoto ni Makamu meya, Hassan Mkatana wa kwanza kulia ni Katibu tawala wilaya ya Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, imetoa  maombi maalum...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JAPAN YAIPATIA MSAADA WA DOLA LAKI 1.4 HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI

Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,Twalib Mbasha wakisaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Monduli.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi hiyo.Wengine pichani ni Mbunge wa Viti Maalum - Monduli,Mh. Namelock Sokoine (katikati),Mwenyekiti wa Halmashauri ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani