‘Serikali yazuia halmashauri’
SERIKALI kupitia wakala wake wa kununua na kuhifadhi mazao ya chakula nchini (SGR), imezitikisa halmashauri nne za Mkoa wa Rukwa baada ya kushindwa kuzilipa zaidi ya sh bilioni 2 za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV14 Jan
Serikali yazuia shughuli zinazohusiana na ramli.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Serikali imezuia shughuli zote zinazohusiana na upigaji ramli ikiwataka wapiga ramli wote kuacha shughuli hiyo mara moja vinginevyo watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria.
Katazo hili linakuja ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino ambayo yamedumu kwa muda mrefu sasa hapa nchini.
Waziri wa Mambo ya ndani Mathias Chikawe amesema si kwamba Serikali inaamini uchawi la hasha. Ila kuwepo...
10 years ago
Habarileo01 Sep
Serikali yazuia uzalishaji holela wa vitabu
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesikia kilio cha muda mrefu juu ya uzalishaji wa vitabu usiokidhi viwango kwa kufuta mfumo huria wa uzalishaji na usambazaji wa vitabu shuleni na vyuo vya ualimu badala yake jukumu hilo sasa litafanywa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET).
11 years ago
Habarileo26 May
Serikali yazuia Iringa kujenga stendi Igumbilo
SERIKALI imefanya uamuzi mgumu kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuzuia mpango wake wa kujenga stendi mpya ya mabasi ya mikoani katika eneo linalolalamikiwa na wadau wa mazingira la Igumbilo, mjini hapa.
9 years ago
VijimamboSERIKALI YA MAREKANI YAZUIA TANZANIA MSAADA WA TRILIONI MOJA
Taarifa iliyotolewa jana na MCC ilieleza kuwa mkutano wa robo ya mwaka wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo linalomilikiwa na serikali ya Marekani kwa ajili ya kutoa misaada kwa nchi zinazoendelea ulijadili pendekezo la mkataba mpya na serikali ya Tanzania wenye thamani ya dola za Kimarekani...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
‘Viongozi halmashauri simamieni dawa za serikali’
VIONGOZI wa halmashauri nchini kwa kushirikiana na waganga wakuu wametakiwa kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinavyotolewa na serikali kupitia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) vinatumika kwa kazi iliyokusudiwa. Agizo hilo...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Serikali yagomea maombi ya Halmashauri Pwani
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Mchina aiomba Serikali Bilioni 3 kujenga jengo la Halmashauri Singida
Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa Singida, Joseph Mchina, akizungumza kwenye kikao maalum cha kupitisha bajeti ya 2015/2016 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa la katoliki mjini Singida. Wa pili aliyeketi ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida, Salum Mahami na wa kwanza kushoto ni Makamu meya, Hassan Mkatana wa kwanza kulia ni Katibu tawala wilaya ya Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, imetoa maombi maalum...
10 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YAIPATIA MSAADA WA DOLA LAKI 1.4 HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI