‘Viongozi halmashauri simamieni dawa za serikali’
VIONGOZI wa halmashauri nchini kwa kushirikiana na waganga wakuu wametakiwa kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinavyotolewa na serikali kupitia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) vinatumika kwa kazi iliyokusudiwa. Agizo hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Serikali: Nemc simamieni mazingira ya viwandani
9 years ago
MichuziMSD kuweka nembo za Serikali kwenye dawa zake, wizi wa dawa kudhibitiwa
Katika kulitekeleza hilo, Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD),Cosmas Mwaifwani aliagizwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Donan Mmbando kwa niaba ya Rais, kuhakikisha kuwa dawa zote za Serikali zinakuwa na utambulisho...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_TC1iDkUOLk/XtFLb--XwZI/AAAAAAALsA8/T9EEsUiZEa0e1LY9gFB_DVP2sm3ORSFlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200529-WA0082.jpg)
MTAFITI WA DAWA ZA MITISHAMBA AIOMBA SERIKALI KUICHUNGUZA DAWA YAKE YA CORONA ALIYOIGUNDUA.
Mtafiti wa Dawa za asili aliyejulikana kwa jina la Rose Roberty (changa Muja) ameiomba Serikali kumsaidia kupima dawa aliyogundua na kuifanyia majaribio kuona kama inatibu ugonjwa wa Corona (Covid-19)
Akiongea na waandishi wa habari leo nyumbani kwake,Rose alieleza kuwa ameweza kugundua dawa ambayo inaweza ikatibu ugonjwa huu ambao unaotikisa dunia ,na anaimani kabisa dawa hiyo itaweza kuponya ugonjwa huo.
Alisema dawa hiyo inatokana na mchanganyiko wa miti shamba...
11 years ago
MichuziPOLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwjUyaEScrY/Ux2DlBq6VaI/AAAAAAAA0Rg/qUnegDdlwak/s1600/01.MSD5.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Ummy awataka halmashauri kudhibiti upoteaji wa dawa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akisaini kitabu cha wageni kwenye Ukumbi wa Mkuu wa mkoa. Kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora), Seleman Jaffo.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiongea na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, Waziri Ummy yupo mkoani hapa kwenye ziara ya kikazi sehemu ya afya na wazee.
Waziri Ummy amesisitiza halmashauri zote kudhibiti na kuokoa dawa pamoja na vifaa tiba ili...
10 years ago
MichuziSEMINA YA BENKI YA CRDB YA VIONGOZI NA WATUMISHI WA HALMASHAURI ZA KANDA YA ZIWA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Bg_vzY4aAI/Xtyxf3ZSCaI/AAAAAAALs5s/LC0nHAGHshYSV48fhI_7dKA4euPkjhAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200606-WA0008.jpg)
CCM BAGAMOYO KUKAA MEZA MOJA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MDOGO NA WILAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7Bg_vzY4aAI/Xtyxf3ZSCaI/AAAAAAALs5s/LC0nHAGHshYSV48fhI_7dKA4euPkjhAcwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200606-WA0008.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO .
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimejipanga ,kuwakutanisha viongozi wa Halmashauri ya Mji Mdogo na wa Halmashauri ya Wilaya, ili kuhakikisha wanashirikiana na kuondoa muingiliano wa mambo kwa maslahi ya wananchi.
Hatua hiyo inalenga kila Mamlaka kutimiza majukumu kulingana na mipaka yake, lengo kubwa ni kuondoa muingiliano wa kazi, hali inayoonekana kujitokeza ikichangia kukwama kwa baadhi ya shughuli za...
9 years ago
Habarileo25 Dec
‘Viongozi wa dini pigeni vita dawa za kulevya’
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuungana kwa pamoja na kushiriki katika vita ya dawa za kulevya, kwani ushiriki wao utaweza kumaliza vita hiyo, ambayo ni ngumu na inaliangamiza Taifa. Amesema uwezekano wa kutokomeza matumizi ya dawa za kulevya nchini upo, iwapo viongozi wa dini watakuwa mstari wa mbele kuhubiri madhara ya dawa hizo, ambazo zinaangamiza nguvu kazi kubwa ya taifa.
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Dawa za kulevya, mapinduzi ya viongozi zilivyotikisa 2013