Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Viongozi halmashauri simamieni dawa za serikali’

VIONGOZI wa halmashauri nchini kwa kushirikiana na waganga wakuu wametakiwa kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinavyotolewa na serikali kupitia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) vinatumika kwa kazi iliyokusudiwa. Agizo hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali: Nemc simamieni mazingira ya viwandani

>Serikali imeliagiza Baraza la Taifa la Mazingira (Nemc) kutoa mwongozo wa  utunzaji na uhifadhi wa mazingira kwa viwanda vyote nchini.

 

9 years ago

Michuzi

MSD kuweka nembo za Serikali kwenye dawa zake, wizi wa dawa kudhibitiwa

Serikali imeamua kuwa itahakikisha dawa zote katika Mahospitali na Vituo vya afya zinapatikana wakati wote. Na kama ambavyo ahadi hiyo imekuwa ikinadiwa na Rais Dkt. Magufuli katika kampeni zake, sasa ni hatua ya utekelezaji wa ahadi hii kwa wananchi umefikia wakati.

Katika kulitekeleza hilo, Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD),Cosmas Mwaifwani aliagizwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Donan Mmbando kwa niaba ya Rais, kuhakikisha kuwa dawa zote za Serikali zinakuwa na utambulisho...

 

5 years ago

Michuzi

MTAFITI WA DAWA ZA MITISHAMBA AIOMBA SERIKALI KUICHUNGUZA DAWA YAKE YA CORONA ALIYOIGUNDUA.

Na Woinde Shizza ,ARUSHA
Mtafiti wa Dawa za asili aliyejulikana kwa jina la Rose Roberty (changa Muja) ameiomba Serikali kumsaidia kupima dawa aliyogundua na kuifanyia majaribio kuona kama inatibu ugonjwa wa Corona (Covid-19)
Akiongea na waandishi wa habari  leo  nyumbani kwake,Rose alieleza kuwa  ameweza kugundua dawa ambayo inaweza ikatibu ugonjwa huu ambao unaotikisa dunia ,na anaimani kabisa dawa hiyo itaweza kuponya ugonjwa huo.
Alisema dawa hiyo inatokana na mchanganyiko wa miti shamba...

 

11 years ago

Michuzi

POLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.

"Haya Mheshimiwa Mbunge sasa nakata utepe kuzindua rasmi usambazaji dawa za serikali ulio chini ya MSD" ni Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Kebwe akishuhudiwa na Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Tibaijuka (Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini) . "Haya tupige makofi kwa pamoja kuashiria kukubali uzinduzi huu" Naibu Waziri Dk. Kebwe (Kulia), Waziri Prof. Tibaijuka (Katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu MSD Bw. Mwaifwani.
Afisa Habari wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ummy awataka halmashauri kudhibiti upoteaji wa dawa

ummy-Jaffo 031

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akisaini kitabu cha wageni kwenye Ukumbi wa Mkuu wa mkoa. Kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora), Seleman Jaffo.

ummy-Jaffo 047

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiongea na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, Waziri Ummy yupo mkoani hapa kwenye ziara ya kikazi sehemu ya afya na wazee.

ummy-Jaffo 040

Waziri Ummy amesisitiza halmashauri zote kudhibiti na kuokoa dawa pamoja na vifaa tiba ili...

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA BENKI YA CRDB YA VIONGOZI NA WATUMISHI WA HALMASHAURI ZA KANDA YA ZIWA

Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti Huduma kwa Wateja Tully Mwambapa akizungumza kwenye semina iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kuhusu huduma za fedha zinazotolewa na benki hiyo kwa serikali. Semina hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza na kuhudhuriwa na viongozi na watumishi wa Halmashauri za Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza katika semina hiyo.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

5 years ago

Michuzi

CCM BAGAMOYO KUKAA MEZA MOJA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MDOGO NA WILAYA

****************************
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO .
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimejipanga ,kuwakutanisha viongozi wa Halmashauri ya Mji Mdogo na wa Halmashauri ya Wilaya, ili kuhakikisha wanashirikiana na kuondoa muingiliano wa mambo kwa maslahi ya wananchi. 
Hatua hiyo inalenga kila Mamlaka kutimiza majukumu kulingana na mipaka yake, lengo kubwa ni kuondoa muingiliano wa kazi, hali inayoonekana kujitokeza ikichangia kukwama kwa baadhi ya shughuli za...

 

9 years ago

Habarileo

‘Viongozi wa dini pigeni vita dawa za kulevya’

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuungana kwa pamoja na kushiriki katika vita ya dawa za kulevya, kwani ushiriki wao utaweza kumaliza vita hiyo, ambayo ni ngumu na inaliangamiza Taifa. Amesema uwezekano wa kutokomeza matumizi ya dawa za kulevya nchini upo, iwapo viongozi wa dini watakuwa mstari wa mbele kuhubiri madhara ya dawa hizo, ambazo zinaangamiza nguvu kazi kubwa ya taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawa za kulevya, mapinduzi ya viongozi zilivyotikisa 2013

Zimesalia siku chache kabla ya kuuaga mwaka 2013 na kuanza mwaka mpya wa 2014, huku kukiwa na rekodi mbaya na nzuri katika sekta ya michezo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani