Ummy awataka halmashauri kudhibiti upoteaji wa dawa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akisaini kitabu cha wageni kwenye Ukumbi wa Mkuu wa mkoa. Kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora), Seleman Jaffo.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiongea na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, Waziri Ummy yupo mkoani hapa kwenye ziara ya kikazi sehemu ya afya na wazee.
Waziri Ummy amesisitiza halmashauri zote kudhibiti na kuokoa dawa pamoja na vifaa tiba ili...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KUDHIBITI CORONA -WAZIRI UMMY
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) Ummy Mwalimu kushoto akikata utepe wakati wa uzinduzi wa makabidhiano ya vifaa vya Kunawia Mikono kudhibiti ugonjwa wa Covid 19 Mkoa wa Tanga kulia ni Country Director Water Mission Benjamini Filskov .
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) Ummy Mwalimu akisisitiza jambo kwa Mganga Mfawidhi wa kituo cha Afya Ngamiani Angelina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MTM-2zsWdX0/XmIyRCXWr1I/AAAAAAALhdw/685vaucOuFEFpKEIzBHOnJFVcaVrnLCwgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
WAZIRI UMMY AWATAKA WANAWAKE KUCHANGAMIKIA FURSA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amezindua maonesho ya wajasiriamali na huduma na kuwataka wakazi wa Simiyu kujitokeza kuchangamkia fursa hasa wanawake ili kujikwamua kiuchumi.
Ameyasema hayo leo wakati akifungua maonesho ya wanawake wajasiriamali na kuupokea msafara wa kijinsia ukizunguka katika katika mikoa tisa kutoa elimu ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Waziri Ummy amefungua maonyesho hayo ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Waziri Ummy Mwalimu ataka halmashauri ya Kinondoni kusimamia sheria za Mazingira
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mhandisi Mussa Natty(kushoto) akizungumza na Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu wakati wa ziara ya kujifunza masuala ya usimamizi wa taka zinazozalishwa katika halmashauri hiyo.
Hussein Makame-MAELEZO
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu amewataka watendaji wa kata za halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kusimamia utekelezaji wa sheria na kanuni za kusimamia mazingira kwani kufanya hivyo watafanikiwa...
9 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AWATAKA WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nK7UMqu-jfg/VEoY9-6G3II/AAAAAAAGtGg/BfpXV5B6gFg/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Ummy Mwalimu azitaka Halmashauri zote nchini kutoa elimu kwa wananchi juu ya utunzaji wa mazingira
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu wakati alipofanya ziara ya kutembelea masoko ya manispaa za Temeke na Ilala za jijini Dar es Salaam.
Amekumbushia pia kila Manispaa kuzingatia agizo la Makamu wa Rais la kufanya usafi kila jumamosi ya mwanzo wa mwezi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6V7YaXvrfzI/XnzD-bAvJqI/AAAAAAALlLc/Bk6vRVfJCTQvAhCn8uyqzgRBzxosfdLDgCLcBGAsYHQ/s72-c/b465c6b7-3955-4c06-a0f5-de0d41580dc6.jpg)
HADI SASA TUMEWEZA KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA NDANI KWA NDANI YA CORONA-WAZIRI UMMY
![](https://1.bp.blogspot.com/-6V7YaXvrfzI/XnzD-bAvJqI/AAAAAAALlLc/Bk6vRVfJCTQvAhCn8uyqzgRBzxosfdLDgCLcBGAsYHQ/s640/b465c6b7-3955-4c06-a0f5-de0d41580dc6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/e9604a83-608f-4ca9-8016-3293627cb11e.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/9e24401b-c91f-449a-b33a-c864378a7be1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/35e603bc-d919-451b-9590-3e00ae02500d.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula wakifuatilia neno kutoka kwa Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu (hayupo kwenye picha, wakati akiongea na Waandishi wa Habari juu ya mwenendo wa ugonjwa wa Corona...
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Dawa mpya kudhibiti saratani
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
‘Tumefanikiwa kudhibiti uingizaji dawa za kulevya’
MKUU wa kitengo cha kudhibiti dawa za kulevya nchini, Godfrey Nzowa amesema mawasiliano baina ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki yamefanikisha kudhibiti uingizwaji wa dawa za kulevya hapa nchini....
10 years ago
Habarileo29 Nov
BRN kudhibiti wizi wa dawa za serikali
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema baada ya kuingizwa katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itadhibiti wizi wa dawa za serikali kwa kuweka alama ya GT (Government of Tanzania) katika dawa zote.