Dawa mpya kudhibiti saratani
Aina ya dawa mbili za kutibu saratani zinaweza kuzuia uvimbe wa saratani kwa watu karibu asilimia 60% wenye saratani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Nov
Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja
SERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Berzosertib: Dawa mpya ya saratani inayozuia uvimbe yawapatia matumaini wagonjwa
11 years ago
Habarileo26 Mar
Mradi kudhibiti saratani ya shingo ya kizazi wazinduliwa
ONGEZEKO la ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi limeelezwa kufukuzia kasi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) mkoani Iringa. Katika kukabiliana na ongezeko hilo, Shirika la T-Marc Tanzania limekuja na mradi wa miezi 18 wa kuzuia na kudhibiti saratani ya shingo ya kizazi mkoani Iringa.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Dawa inayopunguza makali ya saratani
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Dawa ya HIV yaponya Saratani?
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Athari za dawa ya Saratani zamtuma kuua
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
‘Tumefanikiwa kudhibiti uingizaji dawa za kulevya’
MKUU wa kitengo cha kudhibiti dawa za kulevya nchini, Godfrey Nzowa amesema mawasiliano baina ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki yamefanikisha kudhibiti uingizwaji wa dawa za kulevya hapa nchini....
10 years ago
Habarileo29 Nov
BRN kudhibiti wizi wa dawa za serikali
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema baada ya kuingizwa katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itadhibiti wizi wa dawa za serikali kwa kuweka alama ya GT (Government of Tanzania) katika dawa zote.
9 years ago
Habarileo29 Aug
WHO yatoa dawa, fedha kudhibiti kipindupindu
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imepewa msaada wa vitu mbalimbali zikiwemo dawa zenye thamani ya Sh milioni 42.2 pamoja na fedha taslimu milioni 160 kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) ili kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu.