WAZIRI UMMY AWATAKA WANAWAKE KUCHANGAMIKIA FURSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MTM-2zsWdX0/XmIyRCXWr1I/AAAAAAALhdw/685vaucOuFEFpKEIzBHOnJFVcaVrnLCwgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amezindua maonesho ya wajasiriamali na huduma na kuwataka wakazi wa Simiyu kujitokeza kuchangamkia fursa hasa wanawake ili kujikwamua kiuchumi.
Ameyasema hayo leo wakati akifungua maonesho ya wanawake wajasiriamali na kuupokea msafara wa kijinsia ukizunguka katika katika mikoa tisa kutoa elimu ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Waziri Ummy amefungua maonyesho hayo ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
Corona imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya nchini’: Waziri Ummy
![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s640/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/97372b66-2582-4a6c-a347-fda1fcc35431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a4725172-0ea6-4f18-800a-c1430784e92b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0fb9082c-f853-4e53-904c-4be5e34a3f74.jpg)
**********************************
Na.WAMJW, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwapo kwa ugonjwa wa Corona nchini, imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali vya afya hapa nchini.
Michango mbalimbali iliyotolewa zikiwamo vifaa na vifaa tiba zimesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya na kuokoa maisha kwa wagonjwa mahututi.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akizindua upanuzi wa...
9 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AWATAKA WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Ummy awataka halmashauri kudhibiti upoteaji wa dawa
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akisaini kitabu cha wageni kwenye Ukumbi wa Mkuu wa mkoa. Kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora), Seleman Jaffo.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiongea na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, Waziri Ummy yupo mkoani hapa kwenye ziara ya kikazi sehemu ya afya na wazee.
Waziri Ummy amesisitiza halmashauri zote kudhibiti na kuokoa dawa pamoja na vifaa tiba ili...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKITETA JAMBO NA WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA.
10 years ago
MichuziKitwanga awataka Watanzania kujifunza fursa Sekta ya Madini
![](http://3.bp.blogspot.com/-lspJs-C0ORE/VQbxfB4YjVI/AAAAAAAHKv4/8nk5qHsg98s/s1600/2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FPFrZV1_pL8/VQbxfJM3IoI/AAAAAAAHKv0/lryK3dJb7VM/s1600/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rYC1B31H6Vk/XmvQAlviRGI/AAAAAAABMvo/fx9kFzJo23Iecj46H4ijSBTwxO6PItMewCNcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
DC MASASI AWATAKA WAFANYABIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA NA NBC BIASHARA CLUB
Mzee amesema, Kuanzishwa kwa NBC Biashara Club liwe ni ni zoezi endelevu ili liweze kuleta tija katika mkoa wa Masasi.
Ameongeza kusema kuwa, kadri watakavyo hudumia wafanyabiashara ndivyo watakavyozidi kuleta fedha kwenye benki.
"Wafanyabiashara wa Masasi wawe makini nkuchangamkia fursa zinazojitokeza ili muweze...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C-LhNBiBgLE/VhU7XeGGsuI/AAAAAAAADp8/nQm2waBjSXs/s72-c/OTH_1942.jpg)
LOWASSA AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA AJIRA ZITOLEWAZO NA AFRIKA MASHARIKI
Kauli hiyo ilitolewa jana na mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa alipokuwa kwenye kampeni zake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Namanga.
Lowassa alisema iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha kuwa watanzania wanachangamkia fursa za Afrika Mashariki kama ilivyo kwa Kenya.
"Napenda mahusiano ya Afrika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNWeF9CJ9JI/XoHfb5nD4tI/AAAAAAALlhY/Hz83CRIHrg4r7IlkfpabV8DZsVj5mW7IgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)