SERIKALI YA JAPAN YAIPATIA MSAADA WA DOLA LAKI 1.4 HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BjvCCF7JMcM/VPnYKreLALI/AAAAAAAHIGE/W68F47Wo_xY/s72-c/MMGL0263.jpg)
Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,Twalib Mbasha wakisaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Monduli.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi hiyo.Wengine pichani ni Mbunge wa Viti Maalum - Monduli,Mh. Namelock Sokoine (katikati),Mwenyekiti wa Halmashauri ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLOFISI YA BUNGE YAKABIDHIWA NA SERIKALI YA CHINA MSAADA WA VIFAA VYA TEHEMA VYENYE TAHAMNI YA DOLA ZA KIMAREKANI LAKI MOJA
11 years ago
MichuziMh. Lowassa ahani Msiba wa Mkurugenzi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aE5gaKOGBww/XsfeQ7lkgXI/AAAAAAALrSo/eAbqGqRaCNsvpLpGeE4ZzW1lfyGo1r6VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200521-WA0324.jpg)
MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI APOKEA MICHE 500 YA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aE5gaKOGBww/XsfeQ7lkgXI/AAAAAAALrSo/eAbqGqRaCNsvpLpGeE4ZzW1lfyGo1r6VQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200521-WA0324.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XKj-9Mr8kKs/XsfeRoiVsTI/AAAAAAALrSw/qQwJV6cGznQsYWnp7X1-5PxEyGbnUD62wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200521-WA0325.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Anderson Ulaya jana amepokea miche 500 ya miti kutoka katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mArRgPu-yeE/Xrm3u_s9luI/AAAAAAALp10/vcGZJMzdj5UZ5o-myCtG5gvXDk9RpNIKQCLcBGAsYHQ/s72-c/4df35b63-19be-49ac-80e9-ce0bb820d439.jpg)
MKUU WA WILAYA YA MONDULI APOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA VYA COVID_19
Mkuu wa wilaya amepokea Ndoo kumi za kunawia mikono pamoja na Vitakasa mikono Chupa kumi kutoka kanisa la Free Pentecostal Church of Tanzania -FPCT kupitia mradi wake wa Tunandoto Tanzania Programu.
Akikabidhi msaada huo Mchungaji wa Kanisa hilo hapa Monduli Mch.Wilbert Mollel akifuatana na Mratibu wa mradi ndg.Lomayani Laizer amesema kuwa Kanisa limeona kuwa Lina...
10 years ago
MichuziBIOLANDS YAKABIDHI MSAADA WA AMBULANCE NISSAN PATROL KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA
11 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAKIMBIZI NCHINI
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Mhamiaji ashinda dola laki 4 Uhispania
11 years ago
BBCSwahili07 May
Nigeria:Polisi waahidi dola laki 3