Kenya yazuia tena magari ya TZ
Kwa mara nyingine Serikali ya Kenya imepiga marufuku magari yaliyosajiliwa Tanzania kupakia au kushusha watalii kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ya Jomo Kenyatta (JKIA), hifadhi za taifa na mapori ya akiba nchini humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Mar
Mazungumzo magari ya Tanzania, Kenya yavunjika
MAZUNGUMZO ya Watendaji na Mawaziri wa Tanzania na Kenya kuhusu kuzuiwa kwa magari ya kitalii ya Tanzania kuingia katika Uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, yamevunjika.
11 years ago
Habarileo14 May
Magari ya vioo vya giza marufuku Kenya
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo, ameagiza kukamatwa kwa magari yote ya abiria yenye vioo vya giza. Lengo la hatua hiyo ni kudhibiti uvamizi na mashambulizi ya mara kwa mara, yanayofanywa na vikundi vya kigaidi kutoka nchi jirani ya Somalia.
10 years ago
Habarileo11 Jan
Magari 150 Tanzania yazuiwa kuingia Kenya
MAGARI zaidi ya 150 yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii maarufu ‘Shuttle’ kati ya jijini Arusha na Moshi kwenda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata nchini Kenya yamezuiliwa kuingia katika uwanja huo toka Desemba 22 mwaka jana.
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Sitta apinga magari ya Tanzania kuzuiwa Kenya
NA ABRAHAM GWANDU, ARUSHA
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameshtushwa na hatua ya Serikali ya Kenya kuyazuia magari yenye namba za usajili za Tanzania kuingia katika eneo la maegesho ya magari katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata na kuweka wazi kuwa ni hatua isiyokubalika.
Akizungumza kwa njia ya simu na MTANZANIA jana, Sitta alisema hatarajii kama hatua hizo zina baraka za uongozi wa Serikali ya Kenya, huku akiwatupia lawama watendaji wa ngazi za chini nchini...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oJ-Wp7ooyeg/VNofehXY64I/AAAAAAAHC20/dizl26-m_z4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Mwakyembe azungumzia Kenya Kuzuia Magari ya Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-oJ-Wp7ooyeg/VNofehXY64I/AAAAAAAHC20/dizl26-m_z4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/ct9EeL1YJLU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hkYXBZ7-K-A/VLv0nBRD3_I/AAAAAAAAsa0/mPnUyqwN4iU/s72-c/LAZAROZ.jpg)
SERIKALI YA KENYA YAKUBALI KUYARUHUSU MAGARI YA ABIRIA NA WATALII KUTOKA TANZANIA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-hkYXBZ7-K-A/VLv0nBRD3_I/AAAAAAAAsa0/mPnUyqwN4iU/s1600/LAZAROZ.jpg)
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania, ilidumu kwa zaidi ya wiki mbili, ambapo katika kusaka suluhu hiyo...
10 years ago
CloudsFM02 Apr
A-Shaabab yavamia tena Kenya
Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo