Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakyembe azungumzia Kenya Kuzuia Magari ya Tanzania

Waziri wa Ushirikiano Afrika Mashariki, Dkt. Harrison Mwakyembe (kati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya swala la serikali ya Kenya kuzuia magari ya kitalii ya yaliyosajiliwa nchini Tanzania kuingia kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya.Kulia ni Naibu Waziri wa Ushirikiano Afrika Mashariki,Dkt Abdallah Juma Saadala na kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,Joyce Mapunjo. 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwakyembe achukua fomu, azungumzia Richmond

Dodoma. Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea urais, huku akisema hana chuki na mtu yeyote kwa sababu sakata la Richmond halikuwa la kwake bali ni la Bunge.

 

10 years ago

Habarileo

Mazungumzo magari ya Tanzania, Kenya yavunjika

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.MAZUNGUMZO ya Watendaji na Mawaziri wa Tanzania na Kenya kuhusu kuzuiwa kwa magari ya kitalii ya Tanzania kuingia katika Uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, yamevunjika.

 

10 years ago

Habarileo

Magari 150 Tanzania yazuiwa kuingia Kenya

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduMAGARI zaidi ya 150 yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii maarufu ‘Shuttle’ kati ya jijini Arusha na Moshi kwenda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata nchini Kenya yamezuiliwa kuingia katika uwanja huo toka Desemba 22 mwaka jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta apinga magari ya Tanzania kuzuiwa Kenya

NA samwel-sittaABRAHAM GWANDU, ARUSHA
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameshtushwa na hatua ya Serikali ya Kenya kuyazuia magari yenye namba za usajili za Tanzania kuingia katika eneo la maegesho ya magari katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata na kuweka wazi kuwa ni hatua isiyokubalika.
Akizungumza kwa njia ya simu na MTANZANIA jana, Sitta alisema hatarajii kama hatua hizo zina baraka za uongozi wa Serikali ya Kenya, huku akiwatupia lawama watendaji wa ngazi za chini nchini...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA KENYA YAKUBALI KUYARUHUSU MAGARI YA ABIRIA NA WATALII KUTOKA TANZANIA.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania, ilidumu kwa zaidi ya wiki mbili, ambapo katika kusaka suluhu hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mwakyembe: Hatutazuia magari ya kitalii toka nchi jirani

Waziri Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Dk Harison Mwakyembe amesema Tanzania haitazuia magari ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki au Nchi nyingine kuingia katika viwanja vyake vya ndege kuleta au kuchukua Watalii wanaopitia katika viwanja hivyo na kwenda katika nchi zao.

 

9 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA :Magari ya kifahari yanayotumiwa na polisi kuzuia uhalifu

Mara nyingi tumesikia na kuona magari ghali na ya kisasa yakitumiwa na watu mashuhuri, hasa wafanyabiashara wakubwam wasanii na wanamichezo.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: MAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA, NA SAFARI ZA KENYA AIRWAYS KUENDELEA KUWA 42

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu makubaliano ya pamoja yaliyofikiwa kati ya  Serikali za Tanzania na Kenya juu ya kuruhusu tena magari ya kitalii ya Tanzania kuingia Uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta na kurudisha idadi ya awali ya safari za ndege za Kenya ambazo ni 42. Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Waziri MembeSehemu ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara  ya Mambo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani