Dk Mwakyembe: Hatutazuia magari ya kitalii toka nchi jirani
Waziri Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Dk Harison Mwakyembe amesema Tanzania haitazuia magari ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki au Nchi nyingine kuingia katika viwanja vyake vya ndege kuleta au kuchukua Watalii wanaopitia katika viwanja hivyo na kwenda katika nchi zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JQuVfV7blpA/U1-fPPaQ-oI/AAAAAAAFd78/3OsAH9v86gA/s72-c/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Serikali yadhamiria kuboresha huduma kwa nchi jirani-Mwakyembe
![](http://3.bp.blogspot.com/-JQuVfV7blpA/U1-fPPaQ-oI/AAAAAAAFd78/3OsAH9v86gA/s1600/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Katika kuonyesha...
9 years ago
Michuzi03 Sep
10 years ago
Michuzi23 Jun
10 years ago
Vijimambo22 Mar
MAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA: WAZIRI MEMBE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Rcl26_3Tv_U/XocIwP63-5I/AAAAAAALl5k/HrbMjjTv0S4m_JXwPWInQFGQs0_ah-4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/2e4b49ca-049e-428c-9201-d413b033693c.jpg)
KINONDONI YAPULIZA DAWA HOTELI ZA KITALII KUDHIBITI CORONA KWA KUTUMIA MAGARI YA ZIMAMOTO
Hatua hiyo ni muendelezo wa mkakati uliowekwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Daniel Chongolo, Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, Mstahiki Meya Benjamini Sitta, pamoja na Mganga mkuu Samweli Laizar kwa pamoja, katika kuhakikisha kuwa maambukizi ya Virus hivyo hayasambai kwa wananchi na hivyo wanaendelea kuwa...
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA, NA SAFARI ZA KENYA AIRWAYS KUENDELEA KUWA 42
10 years ago
Habarileo28 Dec
Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa
CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Boko Haram lashambulia nchi Jirani
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani