Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa

CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya Tehama shuleni; Tujifunze kutoka nchi jirani

Moja ya nchi zinazotajwa kupiga hatua kwenye matumizi Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) shuleni katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ni Rwanda ambapo inakadiriwa kuwa nusu ya wanafunzi wanatumia kompyuta mpakato wakiwa shuleni.

 

10 years ago

Michuzi

Ujumbe kutoka nchi za maziwa makuu wamtembelea katibu mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.

 Balozi wa maziwa makuu nchini Kenya katika wizara ya mambo ya nje, Mhe. Muburi Muita(aliyenyoosha mikono) akiongea na Katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel wakati alipomtembelea ofisini kwake na ujumbe wa kutoka eneo la maziwa makuu(ICGLR) waliokuja kuangalia ushiriki wa vijana katika uchaguzi mkuu wa Tanzania na kuelezea kufurahishwa na ushiriki wa vijana wengi katika uchaguzi huu na kwamba uchaguzi ulikuwa wa Amani na mafanikio makubwa.Ujumbe...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE RITA KABATI AOMBA USHURU WA MAZIWA KUTOKA NJE YA NCHI UONGEZWE ILI KULINDA VIWANDA VYA NDANI

MBUNGE wa Viti Maalum mkoa wa Iringa, Rita Kabati ameiomba Serikali kuongeza kodi ya ushuru wa bidhaa ya maziwa kutoka nje ili kulinda viwanda vya ndani.

Aidha, Kabati ameipongeza Kampuni ya Kuzalisha Maziwa ya ASAS ya mjini Iringa kwa kutumia fursa ya kuongeza ushuru wa bidhaa kwa kuzalisha maziwa mengi.

Kabati ametoa ombi na pongezi hizo Bungeni jiini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Waziri wa Luhaga Mpina.

Mbunge huyo wa Viti Maalum alisema...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bila afungua mkutano wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa nchi za maziwa makuu na nchi majirani za umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA)

02

kamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Maalum wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Maziwa Makuu na Nchi Majirani zinazounda Umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA), uliofanyika leo mchana kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Umoja huo unaundwa na nchi 15 ambazo  ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Somalia, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA NCHI MAJIRANI ZA UMOJA WA KUDHIBITI SILAHA NDOGO (RECSA).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Maalum wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Maziwa Makuu na Nchi Majirani zinazounda Umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA), uliofanyika leo mchana kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Umoja huo unaundwa na nchi 15 ambazo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Somalia, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani

Baadhi ya wasichana waliotekwa nyara na Boko Haram, wanaaminika kupelekwa katika nchi jirani za Cameroon na Chad na kuolewa na wapiganaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lashambulia nchi Jirani

Kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria limeshambulia mji mmoja nchini Niger

 

11 years ago

Vijimambo

UGONJWA MWINGINE WAIBUKA NCHI JIRANI YA UGANDA

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari ya kusafiri nchini Uganda baada ya kuthibitishwa kuwa daktari mmoja amefariki kutokana na ugonjwa hatari wa Marburg unaosambazwa na popo.Kwa sasa Shirika hilo kwa ushirikiano na mamlaka za afya za Uganda wamemzuilia ndugu mmoja wa marehemu kwa hofu kuwa huenda naye aliambukizwa. Watu wengine zaidi ya 80, wakiwemo matabibu 38 waliokutana na mwenzao huyo siku kumi kabla ya kifo chake nao pia wanachunguzwa.
Kwa mujibu wa WHO na mamlaka za afya za...

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaboresha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema serikali yake itashirikiana na nchi jirani ili kuhakikisha wananchi wa mikoa ya mipakani wanapata fursa za kibiashara katika nchi hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani