Boko Haram lashambulia nchi Jirani
Kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria limeshambulia mji mmoja nchini Niger
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Boko Haram lashambulia Nigeria Kazkazini
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wameshambulia mji wa kazkazini mashariki wa Mainok karibu na mji wa Maiduguri.
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Boko Haram:Nchi za Ulaya zakosolewa
Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
B Haram lashambulia mji wa Gombe Nigeria
Kundi la wapiganaji wa Nigeria, Boko Haram, limeshambulia mji mkuu wa jimbo la Gombe, kaskazini-mashariki mwa Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Bako Haram lashambulia taifa la Chad
Kundi la jihad lililoko Nigeria, Boko Haram, kwa mara ya kwanza limeshambulia Chad.
10 years ago
Habarileo28 Dec
Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa
CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani
Baadhi ya wasichana waliotekwa nyara na Boko Haram, wanaaminika kupelekwa katika nchi jirani za Cameroon na Chad na kuolewa na wapiganaji.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-F6zegiXmBOY/VDJsClHPiGI/AAAAAAAArAg/8P9UxLOo3l8/s72-c/0%2C%2C17898808_4%2C00.jpg)
UGONJWA MWINGINE WAIBUKA NCHI JIRANI YA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-F6zegiXmBOY/VDJsClHPiGI/AAAAAAAArAg/8P9UxLOo3l8/s640/0%2C%2C17898808_4%2C00.jpg)
Kwa mujibu wa WHO na mamlaka za afya za...
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Magufuli: Nitaboresha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema serikali yake itashirikiana na nchi jirani ili kuhakikisha wananchi wa mikoa ya mipakani wanapata fursa za kibiashara katika nchi hizo.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Elimu ya Tehama shuleni; Tujifunze kutoka nchi jirani
Moja ya nchi zinazotajwa kupiga hatua kwenye matumizi Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) shuleni katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ni Rwanda ambapo inakadiriwa kuwa nusu ya wanafunzi wanatumia kompyuta mpakato wakiwa shuleni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania