Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram lashambulia nchi Jirani

Kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria limeshambulia mji mmoja nchini Niger

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lashambulia Nigeria Kazkazini

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wameshambulia mji wa kazkazini mashariki wa Mainok karibu na mji wa Maiduguri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram:Nchi za Ulaya zakosolewa

Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

B Haram lashambulia mji wa Gombe Nigeria

Kundi la wapiganaji wa Nigeria, Boko Haram, limeshambulia mji mkuu wa jimbo la Gombe, kaskazini-mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bako Haram lashambulia taifa la Chad

Kundi la jihad lililoko Nigeria, Boko Haram, kwa mara ya kwanza limeshambulia Chad.

 

10 years ago

Habarileo

Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa

CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani

Baadhi ya wasichana waliotekwa nyara na Boko Haram, wanaaminika kupelekwa katika nchi jirani za Cameroon na Chad na kuolewa na wapiganaji.

 

10 years ago

Vijimambo

UGONJWA MWINGINE WAIBUKA NCHI JIRANI YA UGANDA

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari ya kusafiri nchini Uganda baada ya kuthibitishwa kuwa daktari mmoja amefariki kutokana na ugonjwa hatari wa Marburg unaosambazwa na popo.Kwa sasa Shirika hilo kwa ushirikiano na mamlaka za afya za Uganda wamemzuilia ndugu mmoja wa marehemu kwa hofu kuwa huenda naye aliambukizwa. Watu wengine zaidi ya 80, wakiwemo matabibu 38 waliokutana na mwenzao huyo siku kumi kabla ya kifo chake nao pia wanachunguzwa.
Kwa mujibu wa WHO na mamlaka za afya za...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaboresha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema serikali yake itashirikiana na nchi jirani ili kuhakikisha wananchi wa mikoa ya mipakani wanapata fursa za kibiashara katika nchi hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya Tehama shuleni; Tujifunze kutoka nchi jirani

Moja ya nchi zinazotajwa kupiga hatua kwenye matumizi Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) shuleni katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ni Rwanda ambapo inakadiriwa kuwa nusu ya wanafunzi wanatumia kompyuta mpakato wakiwa shuleni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani