B Haram lashambulia mji wa Gombe Nigeria
Kundi la wapiganaji wa Nigeria, Boko Haram, limeshambulia mji mkuu wa jimbo la Gombe, kaskazini-mashariki mwa Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Boko Haram lashambulia Nigeria Kazkazini
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wameshambulia mji wa kazkazini mashariki wa Mainok karibu na mji wa Maiduguri.
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Boko Haram waondoka Gombe
Wapiganaji wa Boko Haram wa Nigeria waondoka mji waliouteka Jumamosi asubuhi - serikali yasema imewatimua
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Boko Haram lashambulia nchi Jirani
Kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria limeshambulia mji mmoja nchini Niger
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Bako Haram lashambulia taifa la Chad
Kundi la jihad lililoko Nigeria, Boko Haram, kwa mara ya kwanza limeshambulia Chad.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mjmCFREQxtonCKO4icVoNCcx3cLaIhEfM6VAcoc6cTu9n9Rqfzo-pQMFAuJBGIfdP3zL0MjPWT8Nv9abVwEVrR-/Yobeblast.jpg?width=650)
MILIPUKO SOKONI YAUA 49 GOMBE, NIGERIA
(Picha na Maktaba) WATU 49 wameuawa katika milipuko miwili iliyotokea kwenye soko lililopo mjini Gombe, Nigeria wakati watu wakifanya manunuzi kwa ajili ya Sikukuu ya Eid jana jioni. Soko hilo lilikuwa limefurika watu waliokuwa wakijiandaa kwa ajili ya Sikukuu ya Eid na watu wengi waliopoteza maisha ni watoto na wanawake.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Boko Haram wauteka mji mwingine
Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili16 May
Boko Haram yateka mji wa Marte
Wanamgambo wa kiislamu wa kundi la Boko Haram wameuteka tena mji ulioko mpakani wa Marte kulingana na naibu gavana wa jimbo hilo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCFAyXbrZcu9Z1QPIUN2tMkeWrTZcs8GTSBtxTLMnpr69dyL8iu3vZZA-H5RTzuvzVoDlN4OVbQyOD47KP9uw0*ChuTJAb8M/boko.jpg?width=650)
BOKO HARAM LAUDHIBITI MJI WA CHIBOK
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram. Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili. Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka...
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Boko Haram laushambulia mji wa Maiduguri
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria, wameshambulia tena mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania