Boko Haram laushambulia mji wa Maiduguri
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria, wameshambulia tena mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Boko Haram wazingira Maiduguri
Wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram wameuzingira mji wa Maiduguri , mji rasmi wa jimbo la Borno Kaskazini Mashariki ya Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Boko Haram washambulia nje ya Maiduguri
Boko Haram washambulia kijiji nje ya Maiduguru ambako Rais Goodluck atarajiwa kwenda kufanya kampeni
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83319000/jpg/_83319978_83319344.jpg)
Nigeria's Boko Haram hit Maiduguri
Boho Haram militants kill least 13 people in Nigeria's north-eastern city of Maiduguri, just after Muhammadu Buhari is sworn in as president.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Boko Haram wauteka mji mwingine
Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili16 May
Boko Haram yateka mji wa Marte
Wanamgambo wa kiislamu wa kundi la Boko Haram wameuteka tena mji ulioko mpakani wa Marte kulingana na naibu gavana wa jimbo hilo
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Boko Haram lakaribia mji wa Mabu
Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu wanaokisia kuwa wanamgambo wa Boko Haram wanakaribia mji wa Mabu nchini Nigeria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCFAyXbrZcu9Z1QPIUN2tMkeWrTZcs8GTSBtxTLMnpr69dyL8iu3vZZA-H5RTzuvzVoDlN4OVbQyOD47KP9uw0*ChuTJAb8M/boko.jpg?width=650)
BOKO HARAM LAUDHIBITI MJI WA CHIBOK
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram. Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili. Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka...
10 years ago
Vijimambo15 Nov
BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK-BBC
![](http://api.ning.com/files/zCFAyXbrZcu9Z1QPIUN2tMkeWrTZcs8GTSBtxTLMnpr69dyL8iu3vZZA-H5RTzuvzVoDlN4OVbQyOD47KP9uw0*ChuTJAb8M/boko.jpg?width=650)
Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka wakati wanamgambo hao walipofanya uvamizi.
![](http://api.ning.com/files/zCFAyXbrZcvSh74kFu4-*AP2ZAmmy1forpgxQr*Y-HNLsd4osXn6PhpU0moH*lcnb0mevpgfiGBLbP0jjiZX-hgGYM19cDlB/mateka.jpg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Boko Harama wazingira Maiduguri
Wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram wameuzingira mji wa Maiduguri , mji rasmi wa jimbo la Borno Kaskazini Mashariki ya Nigeria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania