Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram yateka mji wa Marte

Wanamgambo wa kiislamu wa kundi la Boko Haram wameuteka tena mji ulioko mpakani wa Marte kulingana na naibu gavana wa jimbo hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram laushambulia mji wa Maiduguri

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria, wameshambulia tena mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

GPL

BOKO HARAM LAUDHIBITI MJI WA CHIBOK

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram. Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili. Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wauteka mji mwingine

Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lakaribia mji wa Mabu

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu wanaokisia kuwa wanamgambo wa Boko Haram wanakaribia mji wa Mabu nchini Nigeria

 

10 years ago

Vijimambo

BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK-BBC


Wapiganaji wa kundi la Boko Haram.Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili.
Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka wakati wanamgambo hao walipofanya uvamizi.wasichana zaidi ya 200...

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State yateka mji wa Ramadi

Waziri mkuu nchini Iraq Haider al-Abadi, anasema hawezi kuruhusu mji wa Ramadi kuingia mikononi mwa wanamgambo wa islamic state

 

10 years ago

BBCSwahili

Taleban yateka mji wa Ghazni Afghanistan

Wapiganaji wa taliban wameteka mji muhimu huko Afghanistan

 

10 years ago

BBCSwahili

B Haram lashambulia mji wa Gombe Nigeria

Kundi la wapiganaji wa Nigeria, Boko Haram, limeshambulia mji mkuu wa jimbo la Gombe, kaskazini-mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram 70 wauawa .

Jeshi la Nigeria limetoa ripopoti kua mpaka sasa limekwisha waua wapiganaji 70 kutoka katika kikundi cha kiislam cha BOKO HARAM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani