Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK-BBC


Wapiganaji wa kundi la Boko Haram.Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili.
Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka wakati wanamgambo hao walipofanya uvamizi.wasichana zaidi ya 200...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BOKO HARAM LAUDHIBITI MJI WA CHIBOK

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram. Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili. Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka...

 

10 years ago

BBC

Chibok girls 'fighting for Boko Haram'

Some of the Chibok schoolgirls kidnapped in Nigeria have been forced to join Islamist militant group Boko Haram, the BBC is told.

 

10 years ago

BBC

Boko Haram militants 'seize Chibok'

Boko Haram militants seize Chibok, the north-eastern Nigerian town from which they abducted more than 200 schoolgirls this year, residents say.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaoza wasichana wa Chibok

Kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria limekana madai kutoka kwa serikali ya Nigeria kuwa wameafikia makubaliano.

 

10 years ago

BBC

Will 'truce' with Boko Haram free Chibok girls?

Hopes and scepticism in Nigeria over Boko Haram "truce"

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yateka mji wa Marte

Wanamgambo wa kiislamu wa kundi la Boko Haram wameuteka tena mji ulioko mpakani wa Marte kulingana na naibu gavana wa jimbo hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram laushambulia mji wa Maiduguri

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria, wameshambulia tena mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lakaribia mji wa Mabu

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu wanaokisia kuwa wanamgambo wa Boko Haram wanakaribia mji wa Mabu nchini Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wauteka mji mwingine

Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani