Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram lawaoza wasichana wa Chibok

Kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria limekana madai kutoka kwa serikali ya Nigeria kuwa wameafikia makubaliano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BOKO HARAM LAUDHIBITI MJI WA CHIBOK

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram. Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili. Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka...

 

10 years ago

BBC

Chibok girls 'fighting for Boko Haram'

Some of the Chibok schoolgirls kidnapped in Nigeria have been forced to join Islamist militant group Boko Haram, the BBC is told.

 

10 years ago

BBC

Boko Haram militants 'seize Chibok'

Boko Haram militants seize Chibok, the north-eastern Nigerian town from which they abducted more than 200 schoolgirls this year, residents say.

 

10 years ago

Vijimambo

BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK-BBC


Wapiganaji wa kundi la Boko Haram.Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili.
Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka wakati wanamgambo hao walipofanya uvamizi.wasichana zaidi ya 200...

 

10 years ago

BBC

Will 'truce' with Boko Haram free Chibok girls?

Hopes and scepticism in Nigeria over Boko Haram "truce"

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana 60 wakwepa Boko Haram

Vyombo vya usalama Nigeria vimesema kuwa wasichana 60 wamejikomboa na kukimbia kambi ya Boko Haram walikozuiliwa kwa nguvu

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana 14 zaidi watoroka Boko Haram

Kamishna wa elimu katika jimbo la Borno, Nigeria asema wasichana 14 zaidi wamefanikiwa kutoroka katika mikono ya Boko Haram.

 

11 years ago

GPL

BOKO HARAM WAONYESHA WASICHANA WALIOTEKWA

Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara. Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

Boko Haram Waonyesha wasichana waliotekwa

Wasichana ambao kundi la Boko  Haram liliwateka nyara Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake mia moja wakiwa wamevalia hijabu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani