Wasichana 60 wakwepa Boko Haram
Vyombo vya usalama Nigeria vimesema kuwa wasichana 60 wamejikomboa na kukimbia kambi ya Boko Haram walikozuiliwa kwa nguvu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Apr
Wasichana 14 zaidi watoroka Boko Haram
Kamishna wa elimu katika jimbo la Borno, Nigeria asema wasichana 14 zaidi wamefanikiwa kutoroka katika mikono ya Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Boko Haram lawaoza wasichana wa Chibok
Kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria limekana madai kutoka kwa serikali ya Nigeria kuwa wameafikia makubaliano.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKq5*t5eazyrGkS0aempqwruao9729FKCo4M6VSpcBMUiqfqQv4VY6XPnYd3cMIk*b4FTqLtw1VgvEPwSZ1A13p/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg?width=600)
BOKO HARAM WAONYESHA WASICHANA WALIOTEKWA
Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara. Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo...
11 years ago
Michuzi12 May
Boko Haram Waonyesha wasichana waliotekwa
![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/12/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg)
11 years ago
BBCSwahili05 May
Boko Haram wakiri kuteka wasichana
Kundi Boko Haram linasema kuwa ndilo lililowateka nyara wasichana 200 ambao hawajulikani waliko kwa wiki tatu sasa.
11 years ago
Habarileo09 Jun
Boko Haram yasambaza mateka wasichana nje
MAMIA ya wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram nchini hapa wanadaiwa kuonekana wakioga na kuwapikia wanamgambo wa kundi hilo.
11 years ago
BBCSwahili08 Jun
Boko Haram labadili nia kuhusu wasichana
Wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wanazuiliwa nje ya taifa hilo katika kambi tatu tofauti asema kiongozi mmoja wa kidini
11 years ago
BBCSwahili12 May
Boko H: Waonyesha wasichana waliotekwa
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu serikali itawaachilia huru wapiganaji wake.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74896000/jpg/_74896613_71281300.jpg)
How do you negotiate with Boko Haram?
Frank Gardner looks at how you negotiate with armed kidnappers
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania