Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram labadili nia kuhusu wasichana

Wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wanazuiliwa nje ya taifa hilo katika kambi tatu tofauti asema kiongozi mmoja wa kidini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana 60 wakwepa Boko Haram

Vyombo vya usalama Nigeria vimesema kuwa wasichana 60 wamejikomboa na kukimbia kambi ya Boko Haram walikozuiliwa kwa nguvu

 

11 years ago

GPL

BOKO HARAM WAONYESHA WASICHANA WALIOTEKWA

Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara. Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wakiri kuteka wasichana

Kundi Boko Haram linasema kuwa ndilo lililowateka nyara wasichana 200 ambao hawajulikani waliko kwa wiki tatu sasa.

 

11 years ago

Michuzi

Boko Haram Waonyesha wasichana waliotekwa

Wasichana ambao kundi la Boko  Haram liliwateka nyara Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake mia moja wakiwa wamevalia hijabu na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaoza wasichana wa Chibok

Kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria limekana madai kutoka kwa serikali ya Nigeria kuwa wameafikia makubaliano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana 14 zaidi watoroka Boko Haram

Kamishna wa elimu katika jimbo la Borno, Nigeria asema wasichana 14 zaidi wamefanikiwa kutoroka katika mikono ya Boko Haram.

 

11 years ago

Habarileo

Boko Haram yasambaza mateka wasichana nje

MAMIA ya wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram nchini hapa wanadaiwa kuonekana wakioga na kuwapikia wanamgambo wa kundi hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ushauri wa Museveni kuhusu Boko Haram

Je njia ya kukabiliana na Boko Haram, iwe ya nguvu au mazungumzo?

 

10 years ago

StarTV

Askofu akosoa Ulaya kuhusu Boko Haram

Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.

Askofu Ignatius Kaigama amesema mataifa ya magharibi yanapuuza sana tisho linalotokana na Boko Haram kwa watu wa Nigeria.

Askofu huyo wa Jos, aliongeza kwamba rasilimali zote zinatakiwa kutumika ili kuzuia juhudi za kundi hilo kukita mizizi nchini Nigeria. Pia amesema kwamba dunia inapaswa kuonyesha ari ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani