Askofu akosoa Ulaya kuhusu Boko Haram
Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.
Askofu Ignatius Kaigama amesema mataifa ya magharibi yanapuuza sana tisho linalotokana na Boko Haram kwa watu wa Nigeria.
Askofu huyo wa Jos, aliongeza kwamba rasilimali zote zinatakiwa kutumika ili kuzuia juhudi za kundi hilo kukita mizizi nchini Nigeria. Pia amesema kwamba dunia inapaswa kuonyesha ari ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Boko Haram:Nchi za Ulaya zakosolewa
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Askofu ataka majadiliano kuhusu B Haram
11 years ago
BBCSwahili13 May
Ushauri wa Museveni kuhusu Boko Haram
11 years ago
BBCSwahili08 Jun
Boko Haram labadili nia kuhusu wasichana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74896000/jpg/_74896613_71281300.jpg)
How do you negotiate with Boko Haram?
10 years ago
TheCitizen25 Jan
There’s nothing secular about Boko Haram
11 years ago
TheCitizen11 Jun
Old injustices and Boko Haram
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78546000/jpg/_78546732_78546694.jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Boko Haram 70 wauawa .