Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu akosoa Ulaya kuhusu Boko Haram

Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.

Askofu Ignatius Kaigama amesema mataifa ya magharibi yanapuuza sana tisho linalotokana na Boko Haram kwa watu wa Nigeria.

Askofu huyo wa Jos, aliongeza kwamba rasilimali zote zinatakiwa kutumika ili kuzuia juhudi za kundi hilo kukita mizizi nchini Nigeria. Pia amesema kwamba dunia inapaswa kuonyesha ari ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram:Nchi za Ulaya zakosolewa

Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu ataka majadiliano kuhusu B Haram

Katibu Mkuu wa kanisa la Anglicana duniani Askofu mkuu Josia Idowu Fearon amewataka viongozi wa dini ya kikristo nchini Nigeria kufanya kazi kwa karibu na waislamu ili kupambana na tishio la Boko Haram nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ushauri wa Museveni kuhusu Boko Haram

Je njia ya kukabiliana na Boko Haram, iwe ya nguvu au mazungumzo?

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram labadili nia kuhusu wasichana

Wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wanazuiliwa nje ya taifa hilo katika kambi tatu tofauti asema kiongozi mmoja wa kidini

 

11 years ago

BBC

How do you negotiate with Boko Haram?

Frank Gardner looks at how you negotiate with armed kidnappers

 

10 years ago

TheCitizen

There’s nothing secular about Boko Haram

A reader of last week’s column about Islamist extremism wrote, “It is not really about Islam. It is about things you understand all too well: poverty, alienation, disenfranchisement, and a search for meaning and identity.

 

11 years ago

TheCitizen

Old injustices and Boko Haram

On April 14, 2014 a group of deadly armed religious fanatics in Northern Nigeria, Boko Haram, attacked a school hostel in the north-east Nigerian town of Chibok and abducted 234 female students.

 

10 years ago

BBC

Escape from Boko Haram

How three girls fled their captors

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram 70 wauawa .

Jeshi la Nigeria limetoa ripopoti kua mpaka sasa limekwisha waua wapiganaji 70 kutoka katika kikundi cha kiislam cha BOKO HARAM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani