Askofu ataka majadiliano kuhusu B Haram
Katibu Mkuu wa kanisa la Anglicana duniani Askofu mkuu Josia Idowu Fearon amewataka viongozi wa dini ya kikristo nchini Nigeria kufanya kazi kwa karibu na waislamu ili kupambana na tishio la Boko Haram nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV12 Jan
Askofu akosoa Ulaya kuhusu Boko Haram
Askofu mmoja nchini Nigeria ametoa wito kwa mataifa ya magharibi kufanya juhudi za kutosha dhidi ya Boko Haram kama ilivyofanywa dhidi ya washambuliaji wa kiisilamu nchini Ufaransa.
Askofu Ignatius Kaigama amesema mataifa ya magharibi yanapuuza sana tisho linalotokana na Boko Haram kwa watu wa Nigeria.
Askofu huyo wa Jos, aliongeza kwamba rasilimali zote zinatakiwa kutumika ili kuzuia juhudi za kundi hilo kukita mizizi nchini Nigeria. Pia amesema kwamba dunia inapaswa kuonyesha ari ya...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Papa ataka majadiliano na IS
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L8kjn5vm_Vo/VVg1jF71oYI/AAAAAAAAJ4U/kjioVwh_L6Y/s72-c/USB_Microphone.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vDJBYwRNjtApz6syzf3f2fL81qzyHWTr-yNxsaLuUdZJrW3aa-ijnhr2lwx7m0LJ6BF3FuDnNnWt3Rp--cynRlm/UWAZI.jpg)
ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X-wLbM0j1J0/U9auqzCDgbI/AAAAAAAF7eU/Au7jse6QfrU/s72-c/unnamed.jpg)
MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU UFADHILI WA MIRADI YA MAENDELEO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN KWA MWAKA 2014/2015.
![](http://2.bp.blogspot.com/-X-wLbM0j1J0/U9auqzCDgbI/AAAAAAAF7eU/Au7jse6QfrU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wCV-abVkL_8/U9auoPLCa6I/AAAAAAAF7eo/6vQU320ptu0/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Habarileo14 Apr
Askofu ataka Katiba ya Zanzibar irekebishwe
ASKOFU wa Jimbo Teule la Dodoma la Kanisa la Methodist, Joseph Bundala amesema ili kudumisha Muungano ni vyema Katiba ya Zanzibar irekebishwe.
11 years ago
Habarileo28 Jul
Askofu ataka ushauri wa Rais uheshimiwe
WATANZANIA wameshauriwa kuendelea kuheshimu hadhi na mamlaka aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania, Jakaya Kikwete, kwa kuthamini na kuzingatia mwongozo na ushauri mbalimbali anaoutoa kwa wananchi, kwani mamlaka hayo yanatoka kwa Mungu.
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Askofu ataka UKAWA warudi bungeni
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini (TMC), Mathew Byamungu ametoa wito kwa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea kwenye Bunge la Katiba pindi litakapoanza tena. Askofu...
11 years ago
Habarileo22 Dec
Askofu ataka madoa ya amani kufutwa
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kwa mwaka huu yapo matukio yamejitokeza na kuweka doa katika suala la amani ya nchi hasa katika maeneo ya kidini, kisiasa na kiuchumi.