ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A
![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vDJBYwRNjtApz6syzf3f2fL81qzyHWTr-yNxsaLuUdZJrW3aa-ijnhr2lwx7m0LJ6BF3FuDnNnWt3Rp--cynRlm/UWAZI.jpg)
Na Joseph Ngilisho, Arusha MAPYA tena! Lile sakata la Askofu Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera kudaiwa kuzaa watoto wawili na muumini wake, Peace Sylvester limeendelea kuchukua sura mpya kufuatia mwanamke huyo kumtaka askofu wakapime D.N.A. Askofu Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera. Mbali na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Apr
ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na Francis Godwin, Iringa
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada ya Jumapili ya Pasaka leo kulaani vikali wale wote wanaowatukana...
11 years ago
Habarileo23 Jul
Masangwa askofu mpya KKKT
MCHUNGAJI Solomon Masangwa amechaguliwa kuwa Askofu mpya wa Dayosisi ya Kaskazini Kati ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).Masangwa amechaguliwa kufuatia kifo cha aliyekuwa askofu wa dayosisi hiyo, Dk Thomas Laizer, Februari 6, mwaka jana.
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Waumini KKKT wamkataa Msaidizi wa Askofu
![kanisa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/kkkt.jpg)
Kanisa
Na Upendo Mosha, Moshi
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, wamemkataa Askofu Msaidizi wa jimbo hilo aliyekuwa amependekezwa kugombea nafasi hiyo, Mchungaji Elinganya Saria.
Tukio hilo lilitokea mjini hapa jana baada ya jina la mchungaji huyo kupendekezwa na Halmashauri Kuu ya Dayosisi kwa ajili ya kupigiwa kura.
Wakati wa tukio hilo, jina la Mchungaji Saria ndilo lilikuwa pekee lililokuwa limependekezwa, lakini...
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Askofu Shoo awa mkuu mpya KKKT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYrpAqN*YDCFjGTuZzRw45Y0pwQJkgKMICqREdyOxRsgtLEuy5SsIsgrFrIYun*CWYlVaEmpvxU3a*D377maPFJ/shamkupe.jpg?width=650)
AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Pinda mgeni rasmi sherehe za kumsimika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Ruvuma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi Askofu wa Kanisa la Kiinhili la Kilutheri Dayosisi ya Ruvuma, Amon Joel Mwenda katika ibada ya kumsimika kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo iliyofanyika mjini Songea Julai 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
Michuzi20 Apr
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-AHpejVaefDI/VLGB-gOL62I/AAAAAAAG8mM/fmut6rzZRjw/s72-c/unnamed%2B%2818%29.jpg)
LOWASA, SUMAE, NYALANDU WASHIRIKI IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU WA KKKT KIMANDOLU ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AHpejVaefDI/VLGB-gOL62I/AAAAAAAG8mM/fmut6rzZRjw/s640/unnamed%2B%2818%29.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7rP9Ao4w0WI/VLJZ-YNAtqI/AAAAAAAG8vA/UjOp_-qf1Ss/s640/unnamed%2B%2838%29.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Bilal ashiriki ibada ya kuwekwa wakfu Askofu, Dkt. Abednego Keshomshahara wa kanisa la KKKT mkoani Kagera
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akimkpongeza Askofu Dkt. Abednego Keshmshahara wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Mkoani Kagera (kushoto) wakati wa sherehe za kuwekwa Wakfu zilizofanyika kwenye Kanisa la KKKT mjini Bukoba, mkoani Kagera leo Okt 18, 2015. Katikati ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Alex Malasusa. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...