Pinda mgeni rasmi sherehe za kumsimika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Ruvuma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi Askofu wa Kanisa la Kiinhili la Kilutheri Dayosisi ya Ruvuma, Amon Joel Mwenda katika ibada ya kumsimika kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo iliyofanyika mjini Songea Julai 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Pinda ahudhuria sherehe za kumsimika Askofu wa Anglican Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungungumza na Askofu Mpya wa Dayosisi ya Centra Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani (kulia) na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania , Dkt. Jacob Chimeledya katika Ibada ya kumweka wakfu Askofu Chilongani kwenye Kanisa Kuu la Anglican mjini Dodoma Novemba 23, 2014, (Picha na Ofisi ysa Waziri Mkuu).
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-AHpejVaefDI/VLGB-gOL62I/AAAAAAAG8mM/fmut6rzZRjw/s72-c/unnamed%2B%2818%29.jpg)
LOWASA, SUMAE, NYALANDU WASHIRIKI IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU WA KKKT KIMANDOLU ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AHpejVaefDI/VLGB-gOL62I/AAAAAAAG8mM/fmut6rzZRjw/s640/unnamed%2B%2818%29.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7rP9Ao4w0WI/VLJZ-YNAtqI/AAAAAAAG8vA/UjOp_-qf1Ss/s640/unnamed%2B%2838%29.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Pinda mgeni rasmi Jubilei ya Askofu Mkuu wa Iringa Ngalalekumtwa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Baba Askofu, Tarcisius Ngalalekumtwa (katikati) na Makamu wake, Mhashamu Baba Askofu Severini Niwemugizi katika misa ya Jubilei ya miaka 25 ya uaskofu wa Askofu Mkuu Ngalalekumtwa iliyofanyika kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki jimbo Kuu la Iringa Julai 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s72-c/unnamed+(13).jpg)
MH. PINDA MGENI RASMI JUBILEI YA ASKOFU MKUU NGALALEKUMTWA WA IRINGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bJujf5Tz8eM/VB_47P-hH_I/AAAAAAAGk9Q/CkDXkwwzG9I/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
MH. PINDA AHUDHURI IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU MWAIPOPO WA DAYOSISI YA SUMBAWANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-bJujf5Tz8eM/VB_47P-hH_I/AAAAAAAGk9Q/CkDXkwwzG9I/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2JZH0a-5Ufg/VB_48ri1qRI/AAAAAAAGk9Y/uZZckIRBUTU/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YBAQvI6YM1s/ViOpQIbTtjI/AAAAAAAIAuI/hCTeNTWVUys/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU, DKT. ABEDNEGO KESHOMSHAHARA WA KANISA LA KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MAGHARIBI MKOANI KAGERA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-YBAQvI6YM1s/ViOpQIbTtjI/AAAAAAAIAuI/hCTeNTWVUys/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-51L96fmX-v0/ViOpb2uao3I/AAAAAAAIAvI/kXa0U4rjJX8/s640/5C.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dkt. Bilal ahudhuria sherehe ya kuwekwa wakhfu Askofu mteule wa kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji Bunango
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo, Oktoba 19, 2014, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, iliyofanyika jijini humo leo mchana.(Picha na OMR).
Maaskofu wakimwekea mikono ya Baraka Askofu mwenzao, Askofu Mteule wa Kanisa la African...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0tuLqF0QV2fPPuqw7Dgb0cvSKezXAyI2*W0QV5AEq21knrACBLU2Ekqhbsfqwne0Ics-xSqfuUjKVTIcUb2UHL/1.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE YA KUWEKWA WAKHFU ASKOFU MTEULE WA KANISA LA AFRICAN INLAND DAYOSISI YA MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gxN1KhSX5e4/VEQxdGpByjI/AAAAAAAGr-g/KDmhZy2kKuI/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE YA KUWEKWA WAKHFU ASKOFU MTEULE WA KANISA LA AFRICAN INLAND DAYOSISI YA MWANZA, MCHUNGAJI JOHN BUNANGO, JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxN1KhSX5e4/VEQxdGpByjI/AAAAAAAGr-g/KDmhZy2kKuI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VPRtl4uFw9A/VEQxdSrD9xI/AAAAAAAGr-o/Seq-pTIFuSc/s1600/2.jpg)