Pinda mgeni rasmi Jubilei ya Askofu Mkuu wa Iringa Ngalalekumtwa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Baba Askofu, Tarcisius Ngalalekumtwa (katikati) na Makamu wake, Mhashamu Baba Askofu Severini Niwemugizi katika misa ya Jubilei ya miaka 25 ya uaskofu wa Askofu Mkuu Ngalalekumtwa iliyofanyika kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki jimbo Kuu la Iringa Julai 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s72-c/unnamed+(13).jpg)
MH. PINDA MGENI RASMI JUBILEI YA ASKOFU MKUU NGALALEKUMTWA WA IRINGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632o71u3idbabg4Y0AsFnkyy*wUepC6*xm0uNY2OGtiMztqy*8W1k4*Ff0EZmDUKGyUeQb0CdcVKXgEu0R1lxRxI0/PINDA.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU PINDA AHUDHURIA JUBILEI YA ASKOFU MKUU NGALALEKUMTWA WA IRINGA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s72-c/18.jpg)
Mh. Lowassa ashiriki sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s1600/18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h3veQBgY48g/U7MOd0Gq3NI/AAAAAAAFuCo/CU49ZVasawU/s1600/19.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s1600/18.jpg)
LOWASSA ASHIRIKI SHEREHE ZA JUBILEI YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA IRINGA, MHASHAMU TARCISIUS NGALALEKUMTWA
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Pinda mgeni rasmi sherehe za kumsimika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Ruvuma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi Askofu wa Kanisa la Kiinhili la Kilutheri Dayosisi ya Ruvuma, Amon Joel Mwenda katika ibada ya kumsimika kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo iliyofanyika mjini Songea Julai 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
Michuzi30 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3YcGxLXGHwA/VDqO9KoW-TI/AAAAAAAGpjY/H-ZRK8wmwc4/s72-c/8.jpg)
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mechi ya viongozi wa dini jijini dar leo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3YcGxLXGHwA/VDqO9KoW-TI/AAAAAAAGpjY/H-ZRK8wmwc4/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HgEg_Q-l3Tg/VDqO9by3EeI/AAAAAAAGpjc/eUWG9lKlllw/s1600/9.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s72-c/657998666.jpg)
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza uwekezaji DART leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s1600/657998666.jpg)
Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam (DART), Bi. Asteria Mlambo, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa mkutano huo wa...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ Desemba 7, 2014
Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto (kulia). Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.
Na Mwandishi Wetu.
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda ametajwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ ambayo itapatikana kwenye DVD Desemba 7, mwaka huu.
Akizungumza Dar es Salaam jana kwenye mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto, alisema hafla hiyo itafanyika kwenye Ukumbi wa PTA uliopo Uwanja wa Sabasaba, Dar es...