LOWASSA ASHIRIKI SHEREHE ZA JUBILEI YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA IRINGA, MHASHAMU TARCISIUS NGALALEKUMTWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s1600/18.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa wakati wa Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wake,iliyofanyika Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa. Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,Mhashamu Severini… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s72-c/18.jpg)
Mh. Lowassa ashiriki sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s1600/18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h3veQBgY48g/U7MOd0Gq3NI/AAAAAAAFuCo/CU49ZVasawU/s1600/19.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Pinda mgeni rasmi Jubilei ya Askofu Mkuu wa Iringa Ngalalekumtwa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Baba Askofu, Tarcisius Ngalalekumtwa (katikati) na Makamu wake, Mhashamu Baba Askofu Severini Niwemugizi katika misa ya Jubilei ya miaka 25 ya uaskofu wa Askofu Mkuu Ngalalekumtwa iliyofanyika kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki jimbo Kuu la Iringa Julai 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s72-c/unnamed+(13).jpg)
MH. PINDA MGENI RASMI JUBILEI YA ASKOFU MKUU NGALALEKUMTWA WA IRINGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632o71u3idbabg4Y0AsFnkyy*wUepC6*xm0uNY2OGtiMztqy*8W1k4*Ff0EZmDUKGyUeQb0CdcVKXgEu0R1lxRxI0/PINDA.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU PINDA AHUDHURIA JUBILEI YA ASKOFU MKUU NGALALEKUMTWA WA IRINGA
11 years ago
GPLHAFLA YA KUMUAGA ASKOFU WA JIMBO LA KATOLIKI DODOMA,MHASHAMU BABA ASKOFU GERVAS JOHN NYAISONGA YAFANA SANA
11 years ago
MichuziHafla ya kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga yafana sana
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-GZBnINtF12Y/VjOuAU61yaI/AAAAAAAAFXs/pVVsu8eERdg/s72-c/IMAG1526.jpg)
BALOZI DORA MSECHU ASHIRIKI KWENYE SHEREHE YA MIAKA 10 YA JUMUIYA YA WATANZANIA JIMBO LA FYN, DENMARK
![](http://3.bp.blogspot.com/-GZBnINtF12Y/VjOuAU61yaI/AAAAAAAAFXs/pVVsu8eERdg/s640/IMAG1526.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6ehr2xRh23c/VjOt-2TqXeI/AAAAAAAAFXc/oLnurghBpBw/s640/IMG-20151001-WA0018.jpg)
Sherehe hiyo iliandaliwa na Jumuiya ya Watanzania Jimbo la Fyn kwa kushirikiana na...
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Uaskofu jimbo Katoliki Shinyanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo, mjini Shinyanga leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumapili, Aprili 12, 2015 ameungana na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Shinyanga, kuhudhuria Ibada rasmi ya kumweka wakfu na kumsimika Askofu mpya wa Jimbo hilo,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
JK ahudhuria ibada ya kusimikwa askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)