Waumini KKKT wamkataa Msaidizi wa Askofu
Kanisa
Na Upendo Mosha, Moshi
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, wamemkataa Askofu Msaidizi wa jimbo hilo aliyekuwa amependekezwa kugombea nafasi hiyo, Mchungaji Elinganya Saria.
Tukio hilo lilitokea mjini hapa jana baada ya jina la mchungaji huyo kupendekezwa na Halmashauri Kuu ya Dayosisi kwa ajili ya kupigiwa kura.
Wakati wa tukio hilo, jina la Mchungaji Saria ndilo lilikuwa pekee lililokuwa limependekezwa, lakini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
11 years ago
Habarileo24 Jul
Waumini KKKT Arusha waridhika na uchaguzi
WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, Arusha wamesema Askofu Mteule, Mchungaji Solomon Massangwa ni chaguo la Mungu.
11 years ago
MichuziKKKT: Nawaita waumini Tamasha la Pasaka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s72-c/BARAKOA.webp)
Njombe:Waumini wa kanisa la KKKT watakiwa kuvaa barakoa wanapoingia kanisani
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s400/BARAKOA.webp)
Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa hilo dayosisi ya kusini Dkt,George Fihavango mara baada ya ibada ya Jumapili katika kanisa la hilo usharika wa Mji Mwema mjini Makambako,ambapo amesema kuwa waumini wote wanatakiwa kuvaa barakoa wanapokuwa ibadani ili waweze kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Aidha ametoa wito kwa wakuu...
11 years ago
Habarileo23 Jul
Masangwa askofu mpya KKKT
MCHUNGAJI Solomon Masangwa amechaguliwa kuwa Askofu mpya wa Dayosisi ya Kaskazini Kati ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).Masangwa amechaguliwa kufuatia kifo cha aliyekuwa askofu wa dayosisi hiyo, Dk Thomas Laizer, Februari 6, mwaka jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vDJBYwRNjtApz6syzf3f2fL81qzyHWTr-yNxsaLuUdZJrW3aa-ijnhr2lwx7m0LJ6BF3FuDnNnWt3Rp--cynRlm/UWAZI.jpg)
ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Askofu Shoo awa mkuu mpya KKKT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYrpAqN*YDCFjGTuZzRw45Y0pwQJkgKMICqREdyOxRsgtLEuy5SsIsgrFrIYun*CWYlVaEmpvxU3a*D377maPFJ/shamkupe.jpg?width=650)
AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA
10 years ago
Habarileo24 Aug
Waumini wamburuza kortini askofu wao
ASKOFU wa Kanisa la EAGT Kanda ya Magharibi, Raphael Machimu amefikishwa mahakamani na waumini wa kanisa hilo.