KKKT: Nawaita waumini Tamasha la Pasaka
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) mkoa wa Morogoro limetoa wito kwa jamii kuungana na Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama katika kipindi hiki cha Pasaka kutumia kidogo ambacho Mungu amewajalia kuwakumbuka wenye mahitaji maalum kama vile walemavu, wajane na yatima.Wito huo umetolewa na Mchungaji Raymond Dunia wa kanisa hilo akiwa na nia ya kuwakumbusha Wakristo kuwa na moyo wa kujitolea hasa kwa wenye mahitaji maalum.
Anasema kuwa lengo la Msama kusaidia jamii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWACHUNGAJI WATAKIWA KUWARUHUSU WAUMINI KUHUDHURIA TAMASHA LA PASAKA
Askofu wa Kanisa la Naioth Gospel ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste, David Mwasota akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya Tamasha la Pasaka. Kushoto ni Mwenyekiti wa tamasha hilo, Alex Msama. (Picha na Francis Dande)
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Waumini KKKT wamkataa Msaidizi wa Askofu
![kanisa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/kkkt.jpg)
Kanisa
Na Upendo Mosha, Moshi
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, wamemkataa Askofu Msaidizi wa jimbo hilo aliyekuwa amependekezwa kugombea nafasi hiyo, Mchungaji Elinganya Saria.
Tukio hilo lilitokea mjini hapa jana baada ya jina la mchungaji huyo kupendekezwa na Halmashauri Kuu ya Dayosisi kwa ajili ya kupigiwa kura.
Wakati wa tukio hilo, jina la Mchungaji Saria ndilo lilikuwa pekee lililokuwa limependekezwa, lakini...
11 years ago
Habarileo24 Jul
Waumini KKKT Arusha waridhika na uchaguzi
WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, Arusha wamesema Askofu Mteule, Mchungaji Solomon Massangwa ni chaguo la Mungu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s72-c/BARAKOA.webp)
Njombe:Waumini wa kanisa la KKKT watakiwa kuvaa barakoa wanapoingia kanisani
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s400/BARAKOA.webp)
Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa hilo dayosisi ya kusini Dkt,George Fihavango mara baada ya ibada ya Jumapili katika kanisa la hilo usharika wa Mji Mwema mjini Makambako,ambapo amesema kuwa waumini wote wanatakiwa kuvaa barakoa wanapokuwa ibadani ili waweze kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Aidha ametoa wito kwa wakuu...
11 years ago
Michuzi16 Apr
KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mu4i9qV6CtseExo4S14E9FBdDx5E-RTJ9mPA0B981EEOuuU3JgCFA-h2xtNWQXXAm7Z2tK6HCsSXZZms6zvveMMhOD-H1JmgY6494wyFqSzldt5DiztBYKt9Vy1QzDEJuxUeGhVmQBWcDJ1EcyIq2cCGxHvCgovmtQLE0YaIQbmiX5rplWqp-0tP5F7QuCvMXAkQbSMOrqdavTIZUqzuWgvfHl-S9pPDP0tSQf4Z4ItaKN4uW8ed5DcZZvblwhZhvqUfH6ko2G6FTQftFCef2FTd5oD6sBOcpF91VY02BGsV3xoijj4zDXGRKiGi3IWlMUs_DKktLZtweVOaYSN2RqDMsb7BEP0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-zcKVjNsVVhQ%2FU01Q1lx2slI%2FAAAAAAAAVkM%2FuxQON5LjPVk%2Fs1600%2Fkapotive%2B2000.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4f_wVpaWQig/default.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Apr
WAUMINI WA DHEHEBU YA ORTHODOX WASHEREHEKEA SIKUKUU YA PASAKA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kKpL9ZH_u38/U1O9HbRfMzI/AAAAAAABmag/OtnAYqFJYSw/s640/02.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-Dn_tHtfNLr4/U1O9LlVfhfI/AAAAAAABmaw/vuL24US37Co/s640/04.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s72-c/MMGL2418.jpg)
IBADA YA IJUMAA KUU YA PASAKA KATIKA KANISA LA KKKT AZANIA FRONT JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s1600/MMGL2418.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ton7ExAcSbg/VR6vpVthVqI/AAAAAAAHPIw/wiFmhPX7G_w/s1600/MMGL2452.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1f8YNHrmFY/VR6vrT5K7lI/AAAAAAAHPJM/KfzSoThV_8Q/s1600/MMGL2526.jpg)
Sehemu ya Waumini wa Kanisa la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam, wakiwa kwenye Ibada ya Ijumaa Kuu leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-KbHjVvkx1d8/VR6vzA3xyKI/AAAAAAAHPLM/pc3vRnuyayU/s1600/MMGL2920.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tamasha la Pasaka lasifiwa