Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAUMINI WA DHEHEBU YA ORTHODOX WASHEREHEKEA SIKUKUU YA PASAKA.

Balozi wa Urusi anayefanyakazi hapa nchini  Alexander Rannikh  akiwa  na waumini wenzake wakipewa Baraka na Askofu  wa Dhehebu ya Orthodox  Askofu Dimitrios  wakati wa   Ibada ya Kusherehekea Sikukuu ya Pasaka iliyowashirikisha  Waumini mbalimbali  wakiwemo Watanzania,Wagiriki na Warusi.Ibada hiyo iliafanyika jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Urusi anayefanyakazi hapa nchini  Alexander Rannikh akipewa Baraka na Askofu  wa Dhehebu ya Orthodox  Askofu Dimitrios  wakati wa   Ibada ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA KANISA KATOLIKI HOUSTON. TEXAS, WASHEREHEKEA SIKUKUU YA PASAKA

Watoto wakicheza kwa furahaMaakuliMtoto Natalie akisherehekea Birthday pamoja na wazazi wake Michael & Beatrice Ndejembikwa picha zaidi bofya soma zaidiMbasa, Hilda & SekuluMage, Beatrice & DianaBwana na Bibi KalingaKeki ya BirthdayMama Daudi na SekuluDada Josephine na kijana Humphrey ambaye alitimiza miaka 14Bwana Mbasa akiwa na familia yakeMbasa na ThadeoWababa WakatolikiNeville na HildaPicha zote na Mlonga Kiloma Blog

 

10 years ago

GPL

MTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA

Waimbaji wa Glorious Worship Team (GWT) wakiwa stejini wakati wa kumsifu Mungu na kumwabudu. Glorious Worship Team wakizidi kumwabudu Mungu katika Ukumbi wa Victoria Petrol Station. Mpiga gitaa la sauti nzito (base) wa GWT, Emmanuel Materu akicharaza gitaa hilo. Pembeni yake ni…

 

10 years ago

BBCSwahili

Waislamu washerehekea sikukuu ya Eid

Waumini wa dini ya Kiislamu wameadhimisha siku ya Eid al-Adha kwa kuungana na jamaa ndugu na marafiki katika ibada.

 

10 years ago

Mwananchi

Waislamu washerehekea Sikukuu ya Eid el Fitr leo

>Waislamu  nchini leo wanajumuika na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitr baada ya jana kumaliza mfungo wa mwezi  mtukufu wa Ramadhani.

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA TOKYO JAPAN WASHEREHEKEA SIKUKUU YA EID

 Watanzania na marafiki zao wakijumuika pamoja katika kusherehekea sikukuu ya Eid iliyofanyika siku ya Jumamosi July 18, 2015 Watanzania na marafiki zao wakijumuika pamoja katika kusherehekea sikukuu ya Eid. Picha na Mariam, Mwakilishi wa Vijimambo Japan. Mariam kulia akipata ukodak moment na mwenzie.Watanzania wa Japan wakijumuika pamoja kwenye sherehe ya Eid MosiKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

GPL

MAMIA WASHEREHEKEA PASAKA COCO BEACH

Watu wakiwa katika shamrashamra za Sikukuu ya Pasaka. Watu wakiogelea.…

 

11 years ago

Michuzi

IPTL, Al-Madinah washerehekea sikukuu ya Eid na mayatima 500


Meneja rasilimali watu wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL Bw. Aidan Kaune (mwenye suti ya kijivu) akijumuika pamoja na baadhi ya watoto 500 mayatima kusherehekea sikukuu ya Eid wakati wa karamu ya chakula iliyoandaliwa na taasisi ya Al-Madina na kufadhiliwa na IPTL. Kulia ni meneja maswala ya kampuni ya IPTL (Company Affairs Manager) Bw. Kulwinder Singh Jheeta na wa tatu kulia ni Mkurugenzi wa taasisi ya Al-Madinah Sheikh Ally Mubarak.  Meneja rasilimali watu wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL...

 

10 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CBA WASHEREHEKEA PASAKA NA WATOTO YATIMA

Msimamizi wa Kituo cha Watoto Yatima cha Msimbazi Centre kilichopo jijini Dar es Salaam, Sister Anna Marandu (kulia) akipokea msaada wa chakula na vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wanaolelewa kituoni hapo kutoka kwa Meneja wa benki ya CBA tawi la  barabara ya Nyerere, Nuru Mwangulangu wakati wafanyakazi wa benki hiyo walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali na kucheza na watoto leo ikiwa ni moja ya shamrashamra...

 

11 years ago

Michuzi

KKKT: Nawaita waumini Tamasha la Pasaka

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) mkoa wa Morogoro limetoa wito kwa jamii kuungana na Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama katika kipindi hiki cha Pasaka kutumia kidogo ambacho Mungu amewajalia kuwakumbuka wenye mahitaji maalum kama vile walemavu, wajane na yatima.Wito huo umetolewa na Mchungaji Raymond Dunia wa kanisa hilo akiwa na nia ya kuwakumbusha Wakristo kuwa na moyo wa kujitolea hasa kwa wenye mahitaji maalum.   Anasema kuwa lengo la Msama kusaidia jamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani