Askofu Shoo awa mkuu mpya KKKT
Askofu Dk Fredrick Shoo amechaguliwa kuwa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), akichukua nafasi ya Dk Alex Malasusa aliyemaliza kipindi chake cha miaka minane.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Jul
Masangwa askofu mpya KKKT
MCHUNGAJI Solomon Masangwa amechaguliwa kuwa Askofu mpya wa Dayosisi ya Kaskazini Kati ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).Masangwa amechaguliwa kufuatia kifo cha aliyekuwa askofu wa dayosisi hiyo, Dk Thomas Laizer, Februari 6, mwaka jana.
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Askofu Shoo: Tunatarajia baraza lenye sura mpya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vDJBYwRNjtApz6syzf3f2fL81qzyHWTr-yNxsaLuUdZJrW3aa-ijnhr2lwx7m0LJ6BF3FuDnNnWt3Rp--cynRlm/UWAZI.jpg)
ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Barbara Kambogi wa MultiChoice Tanzania awa mkuu mpya wa Channel ya Maisha Magic Bongo!
Aliyekuwa Meneja Uhusiao wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi amepata nafasi ya juu katika kampuni ya MultiChoice na kuwa Mkuu mpya wa Channeli ya Maisha Magic Bongo.
Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari iliyotumwa leo, Barbara Kambogi amewashukuru na kuwapongeza wanahabari...
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Waumini KKKT wamkataa Msaidizi wa Askofu
![kanisa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/kkkt.jpg)
Kanisa
Na Upendo Mosha, Moshi
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, wamemkataa Askofu Msaidizi wa jimbo hilo aliyekuwa amependekezwa kugombea nafasi hiyo, Mchungaji Elinganya Saria.
Tukio hilo lilitokea mjini hapa jana baada ya jina la mchungaji huyo kupendekezwa na Halmashauri Kuu ya Dayosisi kwa ajili ya kupigiwa kura.
Wakati wa tukio hilo, jina la Mchungaji Saria ndilo lilikuwa pekee lililokuwa limependekezwa, lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYrpAqN*YDCFjGTuZzRw45Y0pwQJkgKMICqREdyOxRsgtLEuy5SsIsgrFrIYun*CWYlVaEmpvxU3a*D377maPFJ/shamkupe.jpg?width=650)
AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Pinda mgeni rasmi sherehe za kumsimika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Ruvuma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi Askofu wa Kanisa la Kiinhili la Kilutheri Dayosisi ya Ruvuma, Amon Joel Mwenda katika ibada ya kumsimika kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo iliyofanyika mjini Songea Julai 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Chilongani awa askofu Anglikana
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika (Dodoma), limemchagua Mchungaji Dk. Dickson Chilongani kuwa Askofu wa sita wa Dayosisi hiyo katika mkutano Maalum. Dk .Chilongani amechaguliwa kufuatia kifo cha aliyekuwa...