Askofu ataka Katiba ya Zanzibar irekebishwe
ASKOFU wa Jimbo Teule la Dodoma la Kanisa la Methodist, Joseph Bundala amesema ili kudumisha Muungano ni vyema Katiba ya Zanzibar irekebishwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Dec
Askofu ataka Katiba kusambazwa kwa wingi
ASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, ameishauri Serikali kusambaza nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi ili kutoa fursa kwao kuisoma na kuielewa vyema na kama ikishindikana hakuna haja ya kuharakisha itumike katika uchaguzi ujao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vDJBYwRNjtApz6syzf3f2fL81qzyHWTr-yNxsaLuUdZJrW3aa-ijnhr2lwx7m0LJ6BF3FuDnNnWt3Rp--cynRlm/UWAZI.jpg)
ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Askofu Mokiwa ataka Tume iheshimiwe
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Askofu ataka majadiliano kuhusu B Haram
11 years ago
Habarileo22 Dec
Askofu ataka madoa ya amani kufutwa
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kwa mwaka huu yapo matukio yamejitokeza na kuweka doa katika suala la amani ya nchi hasa katika maeneo ya kidini, kisiasa na kiuchumi.
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Askofu ataka UKAWA warudi bungeni
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini (TMC), Mathew Byamungu ametoa wito kwa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea kwenye Bunge la Katiba pindi litakapoanza tena. Askofu...
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Askofu Gwajima ataka kutoroshwa Kimafia
Na Waandishi Wetu,Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia wafuasi 15 wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa tuhuma za kutaka kumtorosha Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.
Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ, Mikocheni Dar es Salaam, baada ya kupata mshituko wakati akihojiwa na makachero wa Jeshi la Polisi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu...
11 years ago
Habarileo28 Jul
Askofu ataka ushauri wa Rais uheshimiwe
WATANZANIA wameshauriwa kuendelea kuheshimu hadhi na mamlaka aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania, Jakaya Kikwete, kwa kuthamini na kuzingatia mwongozo na ushauri mbalimbali anaoutoa kwa wananchi, kwani mamlaka hayo yanatoka kwa Mungu.
10 years ago
Habarileo30 Sep
Askofu ataka waumini kuombea nchi amani
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.