Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu ataka Katiba ya Zanzibar irekebishwe

Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Karume wakisaini Hati ya Muungano.ASKOFU wa Jimbo Teule la Dodoma la Kanisa la Methodist, Joseph Bundala amesema ili kudumisha Muungano ni vyema Katiba ya Zanzibar irekebishwe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Askofu ataka Katiba kusambazwa kwa wingi

ASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la MorogoroASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, ameishauri Serikali kusambaza nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa wananchi ili kutoa fursa kwao kuisoma na kuielewa vyema na kama ikishindikana hakuna haja ya kuharakisha itumike katika uchaguzi ujao.

 

10 years ago

GPL

ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A

Na Joseph Ngilisho, Arusha
MAPYA tena! Lile sakata la Askofu Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera kudaiwa kuzaa watoto wawili na muumini wake, Peace Sylvester limeendelea kuchukua sura mpya kufuatia mwanamke huyo kumtaka askofu wakapime D.N.A. Askofu Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera. Mbali na...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Mokiwa ataka Tume iheshimiwe

Askofu wa Anglikana Jimbo la Dar es Salaam, Dk Valentino Mokiwa amewataka wanasiasa nchini kuwaheshimu waliokuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutokana na kazi kubwa waliyoifanya ya kuwasilisha maoni ya wananchi kwa uaminifu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu ataka majadiliano kuhusu B Haram

Katibu Mkuu wa kanisa la Anglicana duniani Askofu mkuu Josia Idowu Fearon amewataka viongozi wa dini ya kikristo nchini Nigeria kufanya kazi kwa karibu na waislamu ili kupambana na tishio la Boko Haram nchini humo.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ataka madoa ya amani kufutwa

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kwa mwaka huu yapo matukio yamejitokeza na kuweka doa katika suala la amani ya nchi hasa katika maeneo ya kidini, kisiasa na kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu ataka UKAWA warudi bungeni

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini (TMC), Mathew Byamungu ametoa wito kwa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea kwenye Bunge la Katiba pindi litakapoanza tena. Askofu...

 

10 years ago

Mtanzania

Askofu Gwajima ataka kutoroshwa Kimafia

gwajimaNa Waandishi Wetu,Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia wafuasi 15 wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa tuhuma za kutaka kumtorosha Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.
Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ, Mikocheni Dar es Salaam, baada ya kupata mshituko wakati akihojiwa na makachero wa Jeshi la Polisi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ataka ushauri wa Rais uheshimiwe

Askofu mstaafu wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Dodoma, Mhashamu Mathias IsujaWATANZANIA wameshauriwa kuendelea kuheshimu hadhi na mamlaka aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania, Jakaya Kikwete, kwa kuthamini na kuzingatia mwongozo na ushauri mbalimbali anaoutoa kwa wananchi, kwani mamlaka hayo yanatoka kwa Mungu.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu ataka waumini kuombea nchi amani

John MwelaASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani