Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu ataka waumini kuombea nchi amani

John MwelaASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Askofu ataka Watanzania kuombea amani ya Kenya

ASKOFU Julius Salu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mombasa nchini Kenya amewataka Watanzania kuombea amani ya nchi hiyo, kutokana na kuwa na hali mbaya ya kiusalama.

 

9 years ago

Global Publishers

Askofu Malassy Kuombea Amani Taifa

1.Askofu Godfrey Malassy (kushoto) akizungumza jambo na kulia kwake ni, Mchungaji wa kanisa hilo, Oliva Mallonga.Askofu Godfrey Malassy (kushoto) akizungumza jambo na kulia kwake ni Mchungaji wa kanisa hilo, Oliva Mallonga.2.Mchungaji Mallonga (kulia) akionesha vitabu vinavyouzwa.Mchungaji Mallonga (kulia) akionesha vitabu vinavyouzwa.3.Wanahabri wakifuatilia hafla hiyo.Wanahabari wakifuatilia hafla hiyo.4.Askofu Malassy (kushoto) akisoma taarifa yake.Askofu Malassy (kushoto) akisoma taarifa yake.

ASKOFU wa Kanisa la Tanzania Fellowship of Churches, Godfrey Emmanuel Malassy anatarajia kufanya maombi maalum kwa ajili ya mkesha wa kuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, lengo likiwa ni kudumisha amani ya taifa letu.

Akizungumza na...

 

10 years ago

Habarileo

Maalim ataka wazee kuombea amani uchaguzi mkuu

MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wazee wa jimbo la Mtambwe Daya Pemba kuliombea dua taifa wakati likielekea katika uchaguzi mkuu ili kuwepo na amani na utulivu wa kutosha.

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani

Makamu wa Rais, Dk Ghalib BilalMAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ataka madoa ya amani kufutwa

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kwa mwaka huu yapo matukio yamejitokeza na kuweka doa katika suala la amani ya nchi hasa katika maeneo ya kidini, kisiasa na kiuchumi.

 

9 years ago

Vijimambo

DC PAUL MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA VYAMA VYA SIASA KUOMBEA NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akihutubia wananchi baada ya kupokea matembezi ya amani ya vyama vya siasa yaliyofanyika kuanzia eneo la Magomeni hadi viwanja vya Kinondoni Biafra Dar es Salaam leo asubuhi.Mwenyekiti wa Wilaya ya Chama cha Union For Multi Party Democratic (UMD), Abdallah Tumbo akihutubia katika mkutano huo.
Katibu wa Wilaya ya Kinondoni wa Chama cha UDP, Makoye Ikoles, akizungumza katika mkutano huo.Mwenyekiti wa Wilaya wa Chama cha UPDD, Salim Choya...

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Angowi ahimiza amani, ataka kura maoni

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Jesse Angowi amesema kutounga mkono kufanyika kwa kura ya maoni Aprili, 2015 ni kukaribisha machafuko nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu RC ahimiza kuombea Katiba mpya

MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea mkoani Ruvuma, Damian Dallu amewataka waumini wa kanisa hilo kuuombea kwa dhati mchakato wa Katiba mpya unaoendelea, ili uweze kumalizika salama bila ya kuipitisha nchi katika majaribu ya machafuko.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa

WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani