Askofu ataka waumini kuombea nchi amani
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Nov
Askofu ataka Watanzania kuombea amani ya Kenya
ASKOFU Julius Salu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mombasa nchini Kenya amewataka Watanzania kuombea amani ya nchi hiyo, kutokana na kuwa na hali mbaya ya kiusalama.
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Askofu Malassy Kuombea Amani Taifa
Askofu Godfrey Malassy (kushoto) akizungumza jambo na kulia kwake ni Mchungaji wa kanisa hilo, Oliva Mallonga.
Mchungaji Mallonga (kulia) akionesha vitabu vinavyouzwa.
Wanahabari wakifuatilia hafla hiyo.
Askofu Malassy (kushoto) akisoma taarifa yake.
ASKOFU wa Kanisa la Tanzania Fellowship of Churches, Godfrey Emmanuel Malassy anatarajia kufanya maombi maalum kwa ajili ya mkesha wa kuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, lengo likiwa ni kudumisha amani ya taifa letu.
Akizungumza na...
10 years ago
Habarileo10 Jul
Maalim ataka wazee kuombea amani uchaguzi mkuu
MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wazee wa jimbo la Mtambwe Daya Pemba kuliombea dua taifa wakati likielekea katika uchaguzi mkuu ili kuwepo na amani na utulivu wa kutosha.
10 years ago
Habarileo07 Feb
Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.
11 years ago
Habarileo22 Dec
Askofu ataka madoa ya amani kufutwa
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kwa mwaka huu yapo matukio yamejitokeza na kuweka doa katika suala la amani ya nchi hasa katika maeneo ya kidini, kisiasa na kiuchumi.
9 years ago
VijimamboDC PAUL MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA VYAMA VYA SIASA KUOMBEA NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Askofu Angowi ahimiza amani, ataka kura maoni
10 years ago
Habarileo17 Aug
Askofu RC ahimiza kuombea Katiba mpya
MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea mkoani Ruvuma, Damian Dallu amewataka waumini wa kanisa hilo kuuombea kwa dhati mchakato wa Katiba mpya unaoendelea, ili uweze kumalizika salama bila ya kuipitisha nchi katika majaribu ya machafuko.
11 years ago
Habarileo31 Dec
Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa
WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.