Askofu Malassy Kuombea Amani Taifa
Askofu Godfrey Malassy (kushoto) akizungumza jambo na kulia kwake ni Mchungaji wa kanisa hilo, Oliva Mallonga.
Mchungaji Mallonga (kulia) akionesha vitabu vinavyouzwa.
Wanahabari wakifuatilia hafla hiyo.
Askofu Malassy (kushoto) akisoma taarifa yake.
ASKOFU wa Kanisa la Tanzania Fellowship of Churches, Godfrey Emmanuel Malassy anatarajia kufanya maombi maalum kwa ajili ya mkesha wa kuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, lengo likiwa ni kudumisha amani ya taifa letu.
Akizungumza na...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Nov
Askofu ataka Watanzania kuombea amani ya Kenya
ASKOFU Julius Salu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mombasa nchini Kenya amewataka Watanzania kuombea amani ya nchi hiyo, kutokana na kuwa na hali mbaya ya kiusalama.
10 years ago
Habarileo30 Sep
Askofu ataka waumini kuombea nchi amani
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini, John Mwela amewataka waumini kukazana katika maombi kuiombea nchi isiingie katika machafuko, hasa katika kipindi hiki cha mchakato wa Katiba mpya na kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho.
11 years ago
Habarileo31 Dec
Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa
WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.
9 years ago
GPLUZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4, 2015 UWANJA WA TAIFA, DAR
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Uzinduzi wa Tamasha la kuombea Amani Taifa kuelekea Uchaguzi Mkuu kufanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa Jijini Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, waandaaji wa matamasha mbalimbali kama lile la Krismas na Pasaka, Alex Msama (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana asubuhi kuhusu uzinduzi wa Tamasha la kuliombea Taifa kuelekea ucahguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu utakaofanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Benno Chilele (kushoto), akizungumza katika tamasha...
9 years ago
VijimamboUZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4, 2015 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Habarileo07 Feb
Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.
9 years ago
GPLTAMASHA KUOMBEA AMANI LAFANA UWANJA WA TAIFA DAR
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-klpsuja_-IU/VkA-hnjCveI/AAAAAAAArHk/mRhHFaiawdo/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA ASHIRIKI HAFLA YA DUA YA KUOMBEA TAIFA AMANI, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-klpsuja_-IU/VkA-hnjCveI/AAAAAAAArHk/mRhHFaiawdo/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9xj7_MCRi2k/VkA-m_zXa1I/AAAAAAAArH4/691SQAA8x8k/s640/1.jpg)