Papa ataka majadiliano na IS
Papa Francis ametaka milango ya majadiliano na kundi la wanamgambo wa dola ya kiislam iwe wazi ,ingawa hali ni mbaya wanakotawala.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Askofu ataka majadiliano kuhusu B Haram
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Papa Francis ataka ulimwengu kuwaombea wenye shida
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
10 years ago
VijimamboMAJUMUISHO YA MAJADILIANO YA AWALI
10 years ago
Habarileo16 Sep
Majadiliano Bunge la Katiba yafungwa
KESHOKUTWA Alhamisi ndiyo siku ambayo rasimu ya mwisho inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba (BMK), itatolewa hadharani mbele ya Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge.
9 years ago
StarTV19 Sep
Mipaka yazua majadiliano makali
Wakati dunia ikishuhudia maelfu ya wakimbizi na wahamiaji haramu kutoka nchi za Afrika, Asia na mashariki ya kati wakimiminika katika nchi za Ulaya, suala la umuhimu wa uwepo wa mipaka ya nchi limeibuka na kuibua majadiliano mazito miongoni mwa mataifa.
Wakijadili suala hilo katika mdahalo ulioandaliwa na kituo cha Utamaduni wa Ufaransa kwa ushirikiano na Ubalozi wa nchi hiyo, wazungumzaji wakuu walielezea ugumu wa tatizo hili na namna linavyochukuliwa kisiasa.
Katika ukumbi wa ALLIANCE...
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Mda wa majadiliano na Iran waongezwa
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Kikwete kuongoza majadiliano Jumatatu
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) anatarajia kuongoza mkutano unaozileta pamoja sekta ya umma na binafsi Jumatatu ijayo. Waziri wa Nchi, Ofisi...