Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa ataka majadiliano na IS

Papa Francis ametaka milango ya majadiliano na kundi la wanamgambo wa dola ya kiislam iwe wazi ,ingawa hali ni mbaya wanakotawala.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Askofu ataka majadiliano kuhusu B Haram

Katibu Mkuu wa kanisa la Anglicana duniani Askofu mkuu Josia Idowu Fearon amewataka viongozi wa dini ya kikristo nchini Nigeria kufanya kazi kwa karibu na waislamu ili kupambana na tishio la Boko Haram nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis ataka ulimwengu kuwaombea wenye shida

>Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis ,jana aliadhimisha sikukuu yake ya kwanza ya Krismasi  tangu kuchaguliwa kwenye wadhifa huo huku akituma ujumbe wa matumaini kwa ulimwengu na kuwaombea wenye shida.

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

10 years ago

Vijimambo

MAJUMUISHO YA MAJADILIANO YA AWALI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile ambaye ni kiongozi wa ujumbe kutoka Tanzania na anawakilisha kama Gavana Mbadala (Alternate Governor) pamoja na Gavana wa Benki Kuu Prof. Benno Ndulu ambaye pia ni Gavana katika mikutano hii. Katika picha viongozi hao wakiwa wanafanya majumuisho ya majadiliano ya awali na kukubaliana cha kufanya kwa pamoja na viongozi kutoka IMF na WB kuhusiana na hali ya uchumi kwa maana ya sera za fedha na sera za mapato...

 

10 years ago

Habarileo

Majadiliano Bunge la Katiba yafungwa

KESHOKUTWA Alhamisi ndiyo siku ambayo rasimu ya mwisho inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba (BMK), itatolewa hadharani mbele ya Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge.

 

9 years ago

StarTV

Mipaka yazua majadiliano makali

 

Wakati dunia ikishuhudia maelfu ya wakimbizi na wahamiaji haramu kutoka nchi za Afrika, Asia na mashariki ya kati wakimiminika katika nchi za Ulaya, suala la umuhimu wa uwepo wa mipaka ya nchi limeibuka na kuibua majadiliano mazito miongoni mwa mataifa.

Wakijadili suala hilo katika mdahalo ulioandaliwa na kituo cha Utamaduni wa Ufaransa kwa ushirikiano na Ubalozi wa nchi hiyo, wazungumzaji wakuu walielezea ugumu wa tatizo hili na namna linavyochukuliwa kisiasa.

Katika ukumbi wa  ALLIANCE...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mda wa majadiliano na Iran waongezwa

Mataifa sita yenye uwezo mkubwa duniani pamoja na Iran yameongeza kwa miezi mengine minne makubaliano ya mpango wa nuklia wa Iran.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete kuongoza majadiliano Jumatatu

RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) anatarajia kuongoza mkutano unaozileta pamoja sekta ya umma na binafsi Jumatatu ijayo. Waziri wa Nchi, Ofisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani