Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete kuongoza majadiliano Jumatatu

RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) anatarajia kuongoza mkutano unaozileta pamoja sekta ya umma na binafsi Jumatatu ijayo. Waziri wa Nchi, Ofisi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete kuongoza maziko ya Kisumo

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuongoza maelfu ya waombolezaji katika maziko ya aliyekuwa mwasisi wa TANU na CCM, Peter Kisumo.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Kikwete kuongoza hadi rais mteule atakapoapishwa’

Serikali imesema Rais Jakaya Kikwete na baraza lake la mawaziri wataendelea kufanya kazi hadi rais mteule atakayeshinda katika Uchaguzi Mkuu atakapoapishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Hatima Bunge la Katiba Jumatatu

Rais Jakaya Kikwete amesema mkutano wake na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) utakaofanyika Jumatatu Septemba 8, mwaka huu ndiyo utakaotoa mwelekeo wa namna ya kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awasili Arusha kuongoza maadhimisho ya Siku ya Albino

Mwenyekiti wa Chama Cha Albino Tanzania Bwana Ernest Kimaya akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) muda mfupi baada ya kuwasili jana  jioni.Rais Kikwete atakuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya kimataifa wa Albino itakayofanyika leo katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid. Kushoto ni Bwana Godson Mollel mwenyekiti wa Chama cha Albino Mkoa wa Arusha. Picha na Freddy Maro

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuchapa kazi ndani ya ndege yake akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mjini Dodoma ambapo ataongoza kikao cha baraza la Mawaziri(Picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

Habarileo

Shule ya michezo ya Kikwete kuanza kunoa vipaji Jumatatu

SHULE ya Michezo ya Jakaya Kikwete iliyopo Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja katikati ya Jiji ya Dar es Salaam, Jumatatu ijayo itaanza kutoa mafunzo ya kukuza vipaji vya michezo kwa vijana.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri mjini Dodoma

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuchapa kazi ndani ya ndege yake akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mjini Dodoma ambapo aliongoza kikao cha baraza la Mawaziri.(Picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ATANGAZA JUMATATU JANUARI 13, 2014 SIKU YA MAPUMZIKO

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuwa kesho, Jumatatu, Januari 13, 2014, itakuwa ni Siku ya Mapumziko (Public Holiday) kwa Watanzania wote kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Rais Kikwete ameutangaza uamuzi huo mjini Zanzibar ambako leo ameungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani