Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mda wa majadiliano na Iran waongezwa

Mataifa sita yenye uwezo mkubwa duniani pamoja na Iran yameongeza kwa miezi mengine minne makubaliano ya mpango wa nuklia wa Iran.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mda wa kusitisha vita waongezwa Ukraine

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ameongeza makubaliano ya kusitisha vita na wapiganajai wanaotaka kujitenga mashariki mwa Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mda wa kupiga kura waongezwa Sudan

Tume ya uchaguzi nchini Sudan inasema kuwa imeongeza mda wa kupiga kura ya urais na ubunge hadi siku ya alhamisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Muda wa mazungumzo na Iran waongezwa

Kuna dalili kuwa mazungumzo kati ya mataifa sita tajiri zaidi duniani na Iran kuhusu mpango wake wa nuklia yataendea mbele hata kama leo ndiyo siku ya mwisho ya mazungumzo hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Itachukua mda kukabili Ebola

Shirika la afya duniani limeonya kuwa ueneeaji wa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika utachukua miezi kadhaa kuudhibiti

 

10 years ago

Dewji Blog

JUST IN: Muda wa kujiandikisha Dar waongezwa

lub

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, Jaji Damian Lubuva.

Na Magreth Kinabo

Tume Taifa ua Uchaguzi(NEC) imeongeza  siku nne  zaidi   kwa mkoa  wa jiji la Dar es Salam  kujiandikisha   katika daftari la kudumu la kupiga kura   ili kuwezesha wakazi wengi  kujiandikisha .

 Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dares Salaam Mwenyekiti  wa  tume hiyo  Jaji Mstaafu Damian Lubuva alisema uamuzi huo umetokana  na kuwepo kwa  mwamko mkubwa  wa wananchi waliojitokeza  kwa wingi  isivyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Zanzibar aongezewa mda.

Muda wa kuhudumu wa rais wa kisiwa cha Zanzibar umeongezwa baada ya matokeo ya uchaguzi kisiwani humo kufutiliwa mbali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi waongezwa mishahara Brazil

Brazil itawapa nyongeza ya asilimia 15.8 ya mishahara polisi wake ili wasigome wakati wa ufunguzi wa kombe la dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wabakaji waongezwa adhabu Tunisia

Polisi wawili nchini Tunisia walioshitakiwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya gari la polisi, wameongezewa adhabu katika kesi iliyowashtua wengi.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Itachukua mda mrefu kuangamiza Ebola

Kiongozi wa ujumbe wa ebola katika shirika la Umoja wa Mataifa amesema kuwa harakati za kukabiliana na ebola hazijafanikiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani